< Zaburi 79 >
1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
Asafa dziesma. Ak Dievs, pagāni Tavā tautā ir ielauzušies, tie ir sagānījuši Tavu svēto namu un Jeruzālemi darījuši par akmeņu kopām;
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Tavu kalpu apkautas miesas tie ir devuši putniem apakš debess par barību, Tavu svēto miesas zemes zvēriem.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Viņu asinis tie ir izlējuši ap Jeruzālemi kā ūdeni, un neviena nebija, kas apraka.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Mēs saviem kaimiņiem esam palikuši par apsmieklu, mūs apmēda un apsmej tie, kas ap mums.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
Cik ilgi, ak Kungs, vai tad Tu gribi mūžīgi dusmot? Vai tad Tavai bardzībai būs degt kā ugunij?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Izgāz Savu dusmību pār tiem pagāniem, kas Tevi nepazīst, un pār tām valstīm, kas Tavu Vārdu nepiesauc.
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
Jo tie Jēkabu ēduši un postījuši viņa dzīvokļus.
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Nepiemini mums mūsu tēvu noziegumus; steidzies, Tava sirds žēlastība lai mums nāk pretim, jo mēs esam ļoti panīkuši.
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Palīdzi mums, ak Dievs, mūsu Pestītājs, Sava godājamā vārda dēļ un izglāb mūs un piedod mūsu grēkus Sava vārda dēļ.
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Kāpēc pagāniem būs sacīt: kur ir viņu Dievs? Lai pagāni priekš mūsu acīm atzīst, ka Tu atriebi Savu kalpu izlietās asinis.
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
Lai cietumnieku nopūšanās nāk Tavā priekšā: uzturi dzīvus nāves bērnus pēc Tava lielā elkoņa,
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
Un atmaksā septiņkārt mūsu kaimiņiem viņu klēpī to nievāšanu, ar ko tie Tevi, Kungs, nievājuši.
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
Tad mēs, Tavi ļaudis un Tavas ganības avis, Tevi teiksim mūžīgi, Tavu slavu sludināsim uz radu radiem.