< Zaburi 79 >

1 Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
[Asaph kah Tingtoenglung] Pathen aw, namtom rhoek loh na rho a kun uh thil tih, na bawkim cim te a poeih uh. Jerusalem te lairhok bangla a khueh uh.
2 Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
Na sal rhoek kah a rhok te vaan kah vaa taengah, na hlangcim rhoek kah a saa te diklai mulhing taengah cakok la a paek uh.
3 Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
Amih thii te Jerusalem kaepvai ah tui bangla a hawk uh tih aka up om pawh.
4 Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
Kaimih he imben rhoek kah kokhahnah, ka taengvai kah tamdaengnah neh soehsalnah la ka om uh.
5 Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
BOEIPA aw me hil nim na thin a toek ve? Na thatlainah te hmai bangla rhong yoeyah aya?
6 Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
Nang aka ming pawh namtom rhoek so neh na ming aka khue mueh ram soah na kosi hawk thil lah.
7 Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
Jakob te a yoop uh tih a tolkhoeng te a pong sak uh.
8 Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
Lamhma kah thaesainah a rho te kaimih taengah thoelh boel lamtah dikdik ka tlayae uh dongah na haidamnah kaimih koe n'doe uh saeh.
9 Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
Kaimih kah daemnah Pathen aw na thangpomnah ming ham kaimih m'bom dae. Na ming kongah kaimih n'huul lamtah kaimih kah tholhnah te han dawth dae.
10 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
Balae tih namtom rhoek loh, “A Pathen khaw melae?” a ti uh eh. Na sal rhoek kah thii aka hawk namtom taengah tawnlohnah loh kaimih mikhmuh ah aka thoeng te namtom rhoek loh ming uh saeh.
11 Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
Thongtla kah a kiinah loh namah taengla ha pawk saeh. Dueknah cadil rhoek te na boeilennah bantha neh sueng sak.
12 Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
Te vaengah kaimih kah imben rhoek te voeirhih la thuung lah. A kodang ah amih kah kokhahnah neh Boeipa namah ni m'veet uh coeng te.
13 Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.
Te dongah na pilnam kaimih neh na rhamtlim kah boiva long tah, namah te kumhal duela kan uem uh ni. Cadilcahma neh cadilcahma hil nang koehnah te ka tae uh ni.

< Zaburi 79 >