< Zaburi 78 >

1 Watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
아삽의 마스길 내 백성이여, 내 교훈을 들으며 내 입의 말에 귀를 기울일지어다
2 Nitafungua kinywa changu katika mifano; nitaimba kuhusu mambo yaliyofichika yahusuyo yaliyopita.
내가 입을 열고 비유를 베풀어서 옛 비밀한 말을 발표하리니
3 Haya ni mambo ambayo tumeyasikia na kujifunza mambo ambayo mababu zetu wametuambia sisi. Hatutawaficha uzao wao.
이는 우리가 들은 바요 아는 바요 우리 열조가 우리에게 전한 바라
4 Tutawaambia kizazi kijacho kuhusu sifa anazostahili Yahwe kwa matendo yake, nguvu zake, na maajabu ambayo ameyafanya.
우리가 이를 그 자손에게 숨기지 아니하고 여호와의 영예와 그 능력과 기이한 사적을 후대에 전하리로다
5 Kwa kuwa yeye alianzisha agano la amri katika Yakobo na sheria maalumu katika Israeli. Yeye aliamuru mababu zetu kuwa walipaswa kuzifundisha kwa watoto wao.
여호와께서 증거를 야곱에게 세우시며 법도를 이스라엘에게 정하시고 우리 열조에게 명하사 저희 자손에게 알게 하라 하셨으니
6 Aliamuru hivi ili kwamba kizazi kijacho kiweze kuzijua amri zake, ili wawafundishe wana ambao bado hawajazaliwa.
이는 저희로 후대 곧 후생 자손에게 이를 알게 하고 그들은 일어나 그 자손에게 일러서
7 Kisha wangeweka tumaini lao katika Mungu na kutokusahau matendo yake bali wazishike amri zake.
저희로 그 소망을 하나님께 두며 하나님의 행사를 잊지 아니하고 오직 그 계명을 지켜서
8 Ndipo wasingekuwa kama mababu zao, ambao walikuwa wakaidi na wenye uasi, kizazi ambacho mioyo yao haikuwa kamilifu, na ambao roho zao hazikuwa na nia thabiti na aminifu kwa Mungu.
그 열조 곧 완고하고 패역하여 그 마음이 정직하지 못하며 그 심령은 하나님께 충성치 아니한 세대와 같지 않게 하려 하심이로다
9 Waefraimu walikuwa na silaha na upinde, lakini walikimbia siku ya vita.
에브라임 자손은 병기를 갖추며 활을 가졌으나 전쟁의 날에 물러갔도다
10 Hawakutunza agano na Mungu, na walikataa kutii sheria yake.
저희가 하나님의 언약을 지키지 아니하고 그 율법 준행하기를 거절하며
11 Walisahau matendo yake, mambo ya ajabu ambayo yeye amewaonesha wao.
여호와의 행하신 것과 저희에게 보이신 기사를 잊었도다
12 Walisahau mambo ya ajabu aliyofayafanya machoni pa mababu zao katika nchi ya Misri, katika ardhi ya Soani.
옛적에 하나님이 애굽 땅 소안 들에서 기이한 일을 저희 열조의 목전에서 행하셨으되
13 Aliigawa bahari na akawaongoza katikati ya bahari; aliyafanya maji yasimame kama kuta.
저가 바다를 갈라 물을 무더기 같이 서게 하시고 저희로 지나게 하셨으며
14 Wakati wa mchana aliwaongoza kwa wingu na usiku wote kwa nuru ya moto.
낮에는 구름으로, 온 밤에는 화광으로 인도하셨으며
15 Alipasua miamba jangwani, na aliwapa maji mengi, ya kutosha kujaza vina virefu vya bahari.
광야에서 반석을 쪼개시고 깊은 수원에서 나는 것 같이 저희에게 물을 흡족히 마시우셨으며
16 Alifanya maporomoko ya maji kutiririka tokea mwambani na aliyafanya maji yatiririke kama mito.
또 반석에서 시내를 내사 물이 강 같이 흐르게 하셨으나
17 Lakini bado waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi dhidi ya Aliye Juu katika jangwa.
저희는 계속하여 하나님께 범죄하여 황야에서 지존자를 배반하였도다
18 Walimjaribu Mungu mioyoni mwao kwa kuomba chakula cha kuwatosheleza hamu zao.
저희가 저희 탐욕대로 식물을 구하여 그 심중에 하나님을 시험하였으며
19 Waliongea dhidi ya Mungu; walisema, “Kweli Mungu anaweza kuweka meza ya chakula kwa ajili yetu jangwani?
그뿐 아니라 하나님을 대적하여 말하기를 하나님이 광야에서 능히 식탁을 준비하시랴
20 Tazama, wakati alipoupiga mwamba, maji yalibubujika, mito ikafurika. Lakini anaweza kutoa mkate tena? Ataweza kuleta nyama kwa watu wake?”
저가 반석을 쳐서 물을 내시매 시내가 넘쳤거니와 또 능히 떡을 주시며 그 백성을 위하여 고기를 예비하시랴 하였도다
21 Yahwe aliposikia haya, alikasirika; moto wake uliwaka dhidi ya Yakobo, hasira yake ikamshambulia Israeli,
그러므로 여호와께서 듣고 노하심이여 야곱을 향하여 노가 맹렬하며 이스라엘을 향하여 노가 올랐으니
22 kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
이는 하나님을 믿지 아니하며 그 구원을 의지하지 아니한 연고로다
23 Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
그러나 저가 오히려 위의 궁창을 명하시며 하늘 문을 여시고
24 Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
저희에게 만나를 비 같이 내려 먹이시며 하늘 양식으로 주셨나니
25 Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
사람이 권세 있는 자의 떡을 먹음이여 하나님이 식물을 충족히 주셨도다
26 Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
저가 동풍으로 하늘에서 일게 하시며 그 권능으로 남풍을 인도하시고
27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
저희에게 고기를 티끌 같이 내리시니 곧 바다 모래 같은 나는 새라
28 Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
그 진 중에 떨어지게 하사 그 거처에 둘리셨도다
29 Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
저희가 먹고 배불렀나니 하나님이 저희 소욕대로 주셨도다
30 Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
저희가 그 욕심에서 떠나지 아니하고 저희 식물이 아직 그 입에 있을 때에
31 Ndipo hasira ya Mungu iliwashambulia na kuwaua wenye nguvu kati yao. Aliwaangusha chini vijana wa Israeli.
하나님이 저희를 대하여 노를 발하사 저희 중 살찐 자를 죽이시며 이스라엘의 청년을 쳐 엎드러뜨리셨도다
32 Licha ya hili, waliendelea kutenda dhambi na hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.
그럴지라도 저희가 오히려 범죄하여 그의 기사를 믿지 아니하였으므로
33 Hivyo Mungu alizikatisha siku zao; miaka yao ilijawa na hofu.
하나님이 저희 날을 헛되이 보내게 하시며 저희 해를 두렵게 지내게 하셨도다
34 Wakati wowote Mungu alipowataabisha, nao waligeuka na kumtafuta yeye kwa bidii.
하나님이 저희를 죽이실 때에 저희가 그에게 구하며 돌이켜 하나님을 간절히 찾았고
35 Walikumbuka kuwa Mungu alikuwa mwamba wao na kuwa Mungu Aliye Juu Sana alikuwa mwokozi wao.
하나님이 저희의 반석이시요 지존하신 하나님이 저희 구속자이심을 기억하였도다
36 Lakini walimsifia tu kwa vinywa vyao na kumdanganya kwa maneno yao.
그러나 저희가 입으로 그에게 아첨하며 자기 혀로 그에게 거짓을 말하였으니
37 Maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, na hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
이는 하나님께 향하는 저희 마음이 정함이 없으며 그의 언약에 성실치 아니하였음이로다
38 Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
오직 하나님은 자비하심으로 죄악을 사하사 멸하지 아니하시고 그 진노를 여러번 돌이키시며 그 분을 다 발하지 아니하셨으니
39 Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
저희는 육체뿐이라 가고 다시 오지 못하는 바람임을 기억하셨음이로다
40 Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
저희가 광야에서 그를 반항하며 사막에서 그를 슬프시게 함이 몇 번인고
41 Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.
저희가 돌이켜 하나님을 재삼 시험하며 이스라엘의 거룩한 자를 격동하였도다
42 Hawakufikiria kuhusu uweza wake, jinsi alivyo waokoa dhidi ya adui
저희가 그의 권능을 기억지 아니하며 대적에게서 구속하신 날도 생각지 아니하였도다
43 alipofanya ishara za kutisha katika Misri na maajabu yake katika konde la Soani.
그 때에 하나님이 애굽에서 그 징조를, 소안 들에서 그 기사를 나타내사
44 Aligeuza mito ya Wamisri kuwa damu ili wasipate kunywa kutoka katika vijito vyao.
저희의 강과 시내를 피로 변하여 저희로 마실 수 없게 하시며
45 Alituma makundi ya inzi yaliyowavamia na vyura ambao walisambaa katika nchi yao.
파리 떼를 저희 중에 보내어 물게 하시고 개구리를 보내어 해하게 하셨으며
46 Aliwapa mazao yao panzi na kazi yao nzige.
저희의 토산물을 황충에게 주시며 저희의 수고한 것을 메뚜기에게 주셨으며
47 Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na miti ya mikuyu kwa mvua ya mawe zaidi.
저희 포도나무를 우박으로, 저희 뽕나무를 서리로 죽이셨으며
48 Aliinyeshea mifugo yao mvua ya mawe na alirusha radi ya umeme ikapiga mifugo yao. Ukali wa hasira yake ulielekea dhidi yao.
저희 가축을 우박에, 저희 양떼를 번갯불에 붙이셨으며
49 Alituma gadhabu, uchungu na taabu kama wakala aletaye maafa.
그 맹렬한 노와 분과 분노와 고난 곧 벌하는 사자들을 저희에게 내려 보내셨으며
50 Aliifanyia njia hasira yake; hakuwakinga dhidi ya kifo bali aliwakabidhi kwa pigo.
그 노를 위하여 치도하사 저희 혼의 사망을 면케 아니하시고 저희 생명을 염병에 붙이셨으며
51 Aliwaua wazaliwa wote wa kwanza katika Misri, wazaliwa wa kwanza wa nguvu zao katika mahema ya Hamu.
애굽에서 모든 장자 곧 함의 장막에 있는 그 기력의 시작을 치셨으나
52 Aliwaongoza nje watu wake mwenyewe kama kondoo na aliwaelekeza kupitia jangwani kama kundi.
자기 백성을 양 같이 인도하여 내시고 광야에서 양떼 같이 지도하셨도다
53 Aliwaongoza salama na pasipo na woga, lakini bahari iliwaelemea adui zao.
저희를 안전히 인도하시니 저희는 두려움이 없었으나 저희 원수는 바다에 엄몰되었도다
54 Kisha aliwaleta mpaka wa nchi yake takatifu, kwenye mlima huu ambao aliutwaa kwa mkono wake wa kuume.
저희를 그 성소의 지경 곧 그의 오른손이 취하신 산으로 인도하시고
55 Aliwafukuza mataifa mbele yao na akawapa urithi wao. Aliwakalisha makabila ya Israeli katika mahema yao.
또 열방을 저희 앞에서 쫓아내시며 줄로 저희 기업을 분배하시고 이스라엘 지파로 그 장막에 거하게 하셨도다
56 Lakini bado walimjaribu na walimkaidi Mungu Aliye Juu na hawakushika amri zake takatifu.
그럴지라도 저희가 지존하신 하나님을 시험하며 반항하여 그 증거를 지키지 아니하며
57 Hawakuwa waaminifu na walienenda katika hila kama baba zao; walikuwa sio wa kutegemewa kama upinde mbovu.
저희 열조 같이 배반하고 궤사를 행하여 속이는 활 같이 빗가서
58 Kwa maana walimkasirisha kwa mahali pao pa juu na walimgadhabisha hata akawa na hasira ya wivu kwa miungu yao.
자기 산당으로 그 노를 격동하며 저희 조각한 우상으로 그를 진노케 하였으매
59 Mungu aliposikia hili, alikasirika na alimkataa kabisa Israeli.
하나님이 들으시고 분내어 이스라엘을 크게 미워하사
60 Alipaacha patakatifu pa Shilo, na hema alikoishi kati ya watu.
실로의 성막 곧 인간에 세우신 장막을 떠나시고
61 Aliruhusu nguvu zake kutekwa na kuutoa utukufu wake mkononi mwa adui.
그 능력된 자를 포로에 붙이시며 자기 영광을 대적의 손에 붙이시고
62 Aliukabidhi upanga watu wake, na aliukasirikia urithi wake.
그 백성을 또 칼에 붙이사 그의 기업에게 분내셨으니
63 Moto uliwavamia vijana wao wa kiume, na vijana wao wa kike hawakuwa na nyimbo za harusi.
저희 청년은 불에 살라지고 저희 처녀에게는 혼인 노래가 없으며
64 Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
저희 제사장들은 칼에 엎드러지고 저희 과부들은 애곡하지 못하였도다
65 Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
때에 주께서 자다가 깬 자 같이, 포도주로 인하여 외치는 용사 같이 일어나사
66 Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.
그 대적들을 쳐 물리쳐서 길이 욕되게 하시고
67 Aliikataa hema ya Yusufu, na hakulichagua kabila la Efraimu.
또 요셉의 장막을 싫어 버리시며 에브라임 지파를 택하지 아니하시고
68 Alilichagua kabila la Yuda na Mlima Sayuni aliyoupenda.
오직 유다 지파와 그 사랑하시는 시온 산을 택하시고
69 Alipajenga patakatifu pake kama mbinguni, na kama nchi aliyoiimarisha milele.
그 성소를 산의 높음 같이, 영원히 두신 땅 같이 지으셨으며
70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, alimchukua kutoka zizi la kondoo.
또 그 종 다윗을 택하시되 양의 우리에서 취하시며
71 Alimtoa kutoka katika kufuata kondoo pamoja na wana wao, na kumweka kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake.
젖 양을 지키는 중에서 저희를 이끄사 그 백성인 야곱, 그 기업인 이스라엘을 기르게 하셨더니
72 Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo wake, naye aliwaongoza kwa ujuzi wa mikono yake.
이에 저가 그 마음의 성실함으로 기르고 그 손의 공교함으로 지도하였도다

< Zaburi 78 >