< Zaburi 78 >
1 Watu wangu, sikieni mafundisho yangu, sikilizeni maneno ya kinywa changu.
Poučna pjesma. Asafova. Poslušaj, narode moj, moju nauku, prikloni uho riječima usta mojih!
2 Nitafungua kinywa changu katika mifano; nitaimba kuhusu mambo yaliyofichika yahusuyo yaliyopita.
Otvorit ću svoja usta na pouku, iznijet ću tajne iz vremena davnih.
3 Haya ni mambo ambayo tumeyasikia na kujifunza mambo ambayo mababu zetu wametuambia sisi. Hatutawaficha uzao wao.
Ono što čusmo i saznasmo, što nam kazivahu oci,
4 Tutawaambia kizazi kijacho kuhusu sifa anazostahili Yahwe kwa matendo yake, nguvu zake, na maajabu ambayo ameyafanya.
nećemo kriti djeci njihovoj, predat ćemo budućem koljenu: slavu Jahvinu i silu njegovu i djela čudesna što ih učini.
5 Kwa kuwa yeye alianzisha agano la amri katika Yakobo na sheria maalumu katika Israeli. Yeye aliamuru mababu zetu kuwa walipaswa kuzifundisha kwa watoto wao.
Svjedočanstvo podiže on u Jakovu, Zakon postavi u Izraelu, da ono što naredi ocima našim oni djeci svojoj objave,
6 Aliamuru hivi ili kwamba kizazi kijacho kiweze kuzijua amri zake, ili wawafundishe wana ambao bado hawajazaliwa.
da sazna budući naraštaj, i sinovi koji će se roditi da djeci svojoj kazuju
7 Kisha wangeweka tumaini lao katika Mungu na kutokusahau matendo yake bali wazishike amri zake.
da u Boga ufanje svoje stave i ne zaborave djela Božjih, već da vrše zapovijedi njegove,
8 Ndipo wasingekuwa kama mababu zao, ambao walikuwa wakaidi na wenye uasi, kizazi ambacho mioyo yao haikuwa kamilifu, na ambao roho zao hazikuwa na nia thabiti na aminifu kwa Mungu.
kako ne bi bili, kao oci njihovi, naraštaj buntovan, prkosan - naraštaj srcem nestalan i duhom Bogu nevjeran.
9 Waefraimu walikuwa na silaha na upinde, lakini walikimbia siku ya vita.
Sinovi Efrajimovi, ratnici s lukom, u dan bitke okrenuše leđa.
10 Hawakutunza agano na Mungu, na walikataa kutii sheria yake.
Saveza s Bogom ne održaše i ne htjedoše hoditi po Zakonu njegovu.
11 Walisahau matendo yake, mambo ya ajabu ambayo yeye amewaonesha wao.
Zaboraviše na djela njegova, na čudesa koja im pokaza.
12 Walisahau mambo ya ajabu aliyofayafanya machoni pa mababu zao katika nchi ya Misri, katika ardhi ya Soani.
Pred njihovim ocima činio je znakove u Egiptu, u Soanskom polju.
13 Aliigawa bahari na akawaongoza katikati ya bahari; aliyafanya maji yasimame kama kuta.
On more razdijeli i njih prevede, vode kao nasip uzdiže.
14 Wakati wa mchana aliwaongoza kwa wingu na usiku wote kwa nuru ya moto.
Danju ih vodio oblakom, a svu noć ognjem blistavim.
15 Alipasua miamba jangwani, na aliwapa maji mengi, ya kutosha kujaza vina virefu vya bahari.
U pustinji hrid prolomi i napoji ih obilno kao iz bezdana.
16 Alifanya maporomoko ya maji kutiririka tokea mwambani na aliyafanya maji yatiririke kama mito.
Iz stijene izbi potoke te izvede vode k'o velike rijeke.
17 Lakini bado waliendelea kutenda dhambi dhidi yake, wakiasi dhidi ya Aliye Juu katika jangwa.
A oni jednako griješiše, prkosiše Višnjem u pustinji.
18 Walimjaribu Mungu mioyoni mwao kwa kuomba chakula cha kuwatosheleza hamu zao.
Boga su kušali u srcima svojim ištuć' (jela) svojoj pohlepnosti.
19 Waliongea dhidi ya Mungu; walisema, “Kweli Mungu anaweza kuweka meza ya chakula kwa ajili yetu jangwani?
Prigovarali su Bogu i pitali: “Može li Gospod stol u pustinji prostrti?
20 Tazama, wakati alipoupiga mwamba, maji yalibubujika, mito ikafurika. Lakini anaweza kutoa mkate tena? Ataweza kuleta nyama kwa watu wake?”
Eno, udari u hrid, i voda poteče i provreše potoci: a može li dati i kruha, i mesa pružiti svome narodu?”
21 Yahwe aliposikia haya, alikasirika; moto wake uliwaka dhidi ya Yakobo, hasira yake ikamshambulia Israeli,
Kad to začu Jahve, gnjevom usplamtje: oganj se raspali protiv Jakova, srdžba se razjari protiv Izraela,
22 kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
jer ne vjerovaše Bogu niti se u njegovu pomoć uzdaše.
23 Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
Pa ozgo naredi oblaku i otvori brane nebeske,
24 Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.
k'o kišu prosu na njih mÓanu da jedu i nahrani ih kruhom nebeskim.
25 Watu walikula mikate ya malaika. Aliwatumia chakula kingi.
Čovjek blagovaše kruh Jakih; on im dade hrane do sitosti.
26 Alisababisha upepo wa mashariki kupiga mawinguni, na kwa uweza wake aliuongoza upepo wa kusini.
Probudi na nebu vjetar istočni i svojom silom južnjak dovede.
27 Aliwanyeshea nyama kama mavumbi, na ndege kama wingi wa mchanga wa baharini.
Prosu na njih mesa k'o prašine i ptice krilatice k'o pijeska morskoga.
28 Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
Padoše usred njihova tabora i oko šatora njihovih.
29 Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
Jeli su i nasitili se, želju njihovu on im ispuni.
30 Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
Još nisu svoju utažili pohlepu i jelo im još bješe u ustima,
31 Ndipo hasira ya Mungu iliwashambulia na kuwaua wenye nguvu kati yao. Aliwaangusha chini vijana wa Israeli.
kad se srdžba Božja na njih raspali: pokosi smrću prvake njihove i mladiće pobi Izraelove.
32 Licha ya hili, waliendelea kutenda dhambi na hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.
Uza sve to griješiše dalje i ne vjerovaše u čudesna djela njegova.
33 Hivyo Mungu alizikatisha siku zao; miaka yao ilijawa na hofu.
I skonča im dane jednim dahom i njihova ljeta naglim svršetkom.
34 Wakati wowote Mungu alipowataabisha, nao waligeuka na kumtafuta yeye kwa bidii.
Kad ih ubijaše, tražiše ga i opet pitahu za Boga;
35 Walikumbuka kuwa Mungu alikuwa mwamba wao na kuwa Mungu Aliye Juu Sana alikuwa mwokozi wao.
spominjahu se da je Bog hridina njihova i Svevišnji njihov otkupitelj.
36 Lakini walimsifia tu kwa vinywa vyao na kumdanganya kwa maneno yao.
Ali ga opet ustima svojim varahu i jezikom svojim lagahu njemu.
37 Maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, na hawakuwa waaminifu kwa agano lake.
Njihovo srce s njime ne bijaše, nit' bijahu vjerni Savezu njegovu.
38 Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
A on im milosrdno grijeh praštao i nije ih posmicao; često je gnjev svoj susprezao da ne plane svom jarošću.
39 Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
Spominjao se da su pÓut i dah koji odlazi i ne vraća se više.
40 Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
Koliko mu prkosiše u pustinji i žalostiše ga u samotnom kraju!
41 Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.
Sve nanovo iskušavahu Boga i vrijeđahu Sveca Izraelova
42 Hawakufikiria kuhusu uweza wake, jinsi alivyo waokoa dhidi ya adui
ne spominjuć' se ruke njegove ni dana kad ih od dušmana izbavi,
43 alipofanya ishara za kutisha katika Misri na maajabu yake katika konde la Soani.
ni znakova njegovih u Egiptu, ni čudesnih djela u polju Soanskom.
44 Aligeuza mito ya Wamisri kuwa damu ili wasipate kunywa kutoka katika vijito vyao.
U krv im pretvori rijeke i potoke, da ne piju.
45 Alituma makundi ya inzi yaliyowavamia na vyura ambao walisambaa katika nchi yao.
Posla na njih obade da ih žderu i žabe da ih more.
46 Aliwapa mazao yao panzi na kazi yao nzige.
I predade skakavcu žetvu njihovu, i plod muke njihove žderaču.
47 Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na miti ya mikuyu kwa mvua ya mawe zaidi.
Vinograde im tučom udari, a mrazom smokvike njihove.
48 Aliinyeshea mifugo yao mvua ya mawe na alirusha radi ya umeme ikapiga mifugo yao. Ukali wa hasira yake ulielekea dhidi yao.
I predade grÓadu njihova goveda i munjama stada njihova.
49 Alituma gadhabu, uchungu na taabu kama wakala aletaye maafa.
Obori na njih svu žestinu gnjeva svog, jarost, bijes i nevolju: posla na njih anđele nesreće.
50 Aliifanyia njia hasira yake; hakuwakinga dhidi ya kifo bali aliwakabidhi kwa pigo.
I put gnjevu svojem otvori: ne poštedje im život od smrti, životinje im izruči pošasti.
51 Aliwaua wazaliwa wote wa kwanza katika Misri, wazaliwa wa kwanza wa nguvu zao katika mahema ya Hamu.
Pobi u Egiptu sve prvorođeno, prvence u šatorju Hamovu.
52 Aliwaongoza nje watu wake mwenyewe kama kondoo na aliwaelekeza kupitia jangwani kama kundi.
I povede narod svoj kao ovce i vođaše ih kao stado kroz pustinju.
53 Aliwaongoza salama na pasipo na woga, lakini bahari iliwaelemea adui zao.
Pouzdano ih je vodio te se nisu bojali, a more je prekrilo dušmane njihove.
54 Kisha aliwaleta mpaka wa nchi yake takatifu, kwenye mlima huu ambao aliutwaa kwa mkono wake wa kuume.
U Svetu zemlju svoju on ih odvede, na bregove što mu ih osvoji desnica.
55 Aliwafukuza mataifa mbele yao na akawapa urithi wao. Aliwakalisha makabila ya Israeli katika mahema yao.
Pred njima istjera pogane, konopom im podijeli baštinu, pod šatorjem njihovim naseli plemena izraelska.
56 Lakini bado walimjaribu na walimkaidi Mungu Aliye Juu na hawakushika amri zake takatifu.
A oni iskušavali i gnjevili Boga Višnjega i nisu držali zapovijedi njegovih.
57 Hawakuwa waaminifu na walienenda katika hila kama baba zao; walikuwa sio wa kutegemewa kama upinde mbovu.
Otpadoše, iznevjeriše se k'o oci njihovi, k'o luk nepouzdan oni zatajiše.
58 Kwa maana walimkasirisha kwa mahali pao pa juu na walimgadhabisha hata akawa na hasira ya wivu kwa miungu yao.
Na gnjev ga nagnaše svojim uzvišicama, na ljubomor navedoše kumirima svojim.
59 Mungu aliposikia hili, alikasirika na alimkataa kabisa Israeli.
Bog vidje i gnjevom planu, odbaci posve Izraela.
60 Alipaacha patakatifu pa Shilo, na hema alikoishi kati ya watu.
I napusti boravište svoje u Šilu, Šator u kojem prebivaše s ljudima.
61 Aliruhusu nguvu zake kutekwa na kuutoa utukufu wake mkononi mwa adui.
Preda u ropstvo snagu svoju i svoju diku u ruke dušmanske.
62 Aliukabidhi upanga watu wake, na aliukasirikia urithi wake.
Narod svoj prepusti maču, raspali se na svoju baštinu.
63 Moto uliwavamia vijana wao wa kiume, na vijana wao wa kike hawakuwa na nyimbo za harusi.
Mladiće njihove oganj proguta, ne udaše se djevice njihove.
64 Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
Svećenici njihovi padoše od mača, ne zaplakaše Óudove njihove.
65 Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
Tad se k'o oda sna trgnu Gospodin, k'o ratnik vinom savladan.
66 Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.
Udari otraga dušmane svoje, sramotu im vječitu zadade.
67 Aliikataa hema ya Yusufu, na hakulichagua kabila la Efraimu.
On odbaci šator Josipov i Efrajimovo pleme ne odabra,
68 Alilichagua kabila la Yuda na Mlima Sayuni aliyoupenda.
već odabra pleme Judino i goru Sion koja mu omilje.
69 Alipajenga patakatifu pake kama mbinguni, na kama nchi aliyoiimarisha milele.
Sagradi Svetište k'o nebo visoko, k'o zemlju utemelji ga dovijeka.
70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, alimchukua kutoka zizi la kondoo.
Izabra Davida, slugu svojega, uze ga od torova ovčjih;
71 Alimtoa kutoka katika kufuata kondoo pamoja na wana wao, na kumweka kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake, na Israeli, urithi wake.
odvede ga od ovaca dojilica da pase Jakova, narod njegov, Izraela, baštinu njegovu.
72 Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo wake, naye aliwaongoza kwa ujuzi wa mikono yake.
I pasao ih je srcem čestitim i brižljivim rukama vodio.