< Zaburi 77 >

1 Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
Načelniku godbe, naslednikov Idutunskih; psalm Asafov. Glas moj gre do Boga, ko zavpijem; glas moj do Boga, da nagne uho k meni.
2 Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
Ob času stiske svoje iščem Gospoda; roka moja je ponoči polita neprestano, duša moja se brani pripustiti tolažbo.
3 Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
Spominjam se Boga, ko trepetam in stokam; premišljam, ko duh moj omaguje presilno.
4 Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
Ko mi ne daš zatisniti očî, zbegan sem, tako da povedati ne morem.
5 Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
Čase premišljujem starodavne, prejšnjih vekov leta.
6 Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
Spominjam se godbe svoje ponočnje; v srci svojem premišljam, in duh moj preiskuje govoreč:
7 Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
Ali bi vekomaj zametal Gospod; ali ne bode dalje dobrovoljen?
8 Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
Ali bi vekomaj opešala milost njegova; konec bilo govora od roda do roda?
9 Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
Ali bi bil pozabil Bog mogočni deliti milost; ali bi zapiral v jezi usmiljenje svoje?
10 Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
Slednjič pravim: To me slabi, ko se je izpremenila Najvišjega desnica.
11 Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
Spominjal so bodem dejanj Gospodovih; dà, spominjal se bodem od starodavnosti vseh čudežev tvojih.
12 Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
In premišljal bodem vsakatero délo tvoje; o dejanjih tvojih bodem pripovedoval:
13 Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
O Bog, v svetosti je steza tvoja, kdo je Bog mogočni kakor Bog?
14 Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
Ti, o Bog mogočni, čudoviti, pokazal si moč svojo na narodih.
15 Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
Rešil si z roko ljudstvo svoje, sinove Jakobove, tudi Jožefa.
16 Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
Videle so te vode, Bog, videle so te vode in se tresle, dà, potresla so se brezna.
17 Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
Izlili so oblaki vode, glas so zagnali gornji oblaki; priletele so tudi pušice tvoje.
18 Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
Bobnel je grom tvoj v tistem krogu, razsvetljali so bliski vesoljni svet; potresla se je zemlja in trepetala.
19 Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
Skozi morje pot tvoja, in steza tvoja skozi prostorne vode, kjer sledovi tvoji niso znani,
20 Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.
Vodil si kakor čedo ljudstvo svoje, po Mojzu in Aronu.

< Zaburi 77 >