< Zaburi 77 >

1 Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
S svojim glasom sem klical k Bogu, celó s svojim glasom k Bogu in mi je prisluhnil.
2 Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
Na dan svoje stiske sem iskal Gospoda. Moja vnetja so se gnojila ponoči in niso odnehala. Moja duša je odklanjala, da bi bila potolažena.
3 Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
Spomnil sem se Boga in bil vznemirjen. Pritoževal sem se in moj duh je bil nadvladan. (Sela)
4 Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
Moje oči držiš budne. Tako sem vznemirjen, da ne morem govoriti.
5 Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
Preudarjal sem [o] dneh iz davnine, letih starodavnih časov.
6 Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
Spominjam se svoje pesmi ponoči. Posvetujem se s svojim lastnim srcem in moj duh je storil marljivo preiskavo.
7 Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
›Ali bo Gospod za vedno zavračal ali ne bo več naklonjen?
8 Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
Je njegovo usmiljenje popolnoma odšlo za vedno? Ali njegova obljuba odpove na vékomaj?
9 Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
Je Bog pozabil biti milostljiv? Ali je v jezi zaprl svoja nežna usmiljenja?‹ (Sela)
10 Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
Rekel sem: »To je moja šibkost, toda spominjal se bom let desnice Najvišjega.«
11 Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
Spominjal se bom Gospodovih del. Zagotovo se bom spominjal tvojih čudežev od davnine.
12 Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
Premišljeval bom tudi o vsem tvojem delu in govoril o tvojih dejanjih.
13 Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
Tvoja pot, oh Bog, je v svetišču. Kdo je tako velik Bog kakor naš Bog?
14 Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
Ti si Bog, ki dela čudeže. Med ljudstvom si oznanil svojo moč.
15 Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
S svojim laktom si odkupil svoje ljudstvo, Jakobove in Jožefove sinove. (Sela)
16 Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
Vode so te videle, oh Bog, vode so te videle, bile so prestrašene. Tudi globine so bile vznemirjene.
17 Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
Oblaki so izlivali vodo, nebo je pošiljalo zvok, tudi tvoje puščice so šle daleč.
18 Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
Zvok tvojega groma je bil na nebu, bliski so razsvetljevali zemeljski [krog], zemlja je trepetala in se tresla.
19 Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
Tvoja pot je na morju in tvoja steza v velikih vodah in tvoje stopinje niso znane.
20 Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.
Svoje ljudstvo vodiš kakor trop z Mojzesovo in Aronovo roko.

< Zaburi 77 >