< Zaburi 77 >

1 Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
Til Sangmesteren. Til Jedutun. Af Asaf. En Salme.
2 Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
Jeg raaber højt til Gud, højt til Gud, og han hører mig;
3 Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
jeg søger Herren paa Nødens Dag, min Haand er om Natten utrættet udrakt, min Sjæl vil ikke lade sig trøste;
4 Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
jeg ihukommer Gud og stønner, jeg sukker, min Aand vansmægter. (Sela)
5 Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
Du holder mine Øjne vaagne, jeg er urolig og maalløs.
6 Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
Jeg tænker paa fordums Dage, ihukommer længst henrundne Aar;
7 Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
jeg gransker om Natten i Hjertet, grunder og ransager min Aand.
8 Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
Vil Herren bortstøde for evigt og aldrig mer vise Naade,
9 Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
er hans Miskundhed ude for stedse, hans Trofasthed omme for evigt og altid,
10 Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
har Gud da glemt at ynkes, lukket sit Hjerte i Vrede? (Sela)
11 Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
Jeg sagde: Det er min Smerte, at den Højestes højre er ikke som før.
12 Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
Jeg kommer HERRENS Gerninger i Hu, ja kommer dine fordums Undere i Hu.
13 Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
Jeg tænker paa al din Gerning og grunder over dine Værker.
14 Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
Gud, din Vej var i Hellighed, hvo er en Gud saa stor som Gud!
15 Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
Du er en Gud, som gør Undere, du gjorde din Vælde kendt blandt Folkene,
16 Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
udøste dit Folk med din Arm, Jakobs og Josefs Sønner. (Sela)
17 Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
Vandene saa dig, Gud, Vandene saa dig og vred sig i Angst, ja Dybet tog til at skælve;
18 Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
Skyerne udøste Vand, Skyhimlens Stemme gjalded, dine Pile for hid og did;
19 Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
din bragende Torden rulled, Lynene oplyste Jorderig, Jorden bæved og skjalv;
20 Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.
din Vej gik midt gennem Havet, din Sti gennem store Vande, dine Fodspor kendtes ikke. Du førte dit Folk som en Hjord ved Moses's og Arons Haand.

< Zaburi 77 >