< Zaburi 76 >
1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Para el músico jefe. Con instrumentos de cuerda. Un salmo de Asaf. Una canción. En Judá, Dios es conocido. Su nombre es grande en Israel.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
Su tabernáculo está también en Salem. Su morada en Sión.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Allí rompió las flechas de fuego del arco, el escudo, la espada y las armas de guerra. (Selah)
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Glorioso eres, y excelente, más que montañas de caza.
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Los hombres valientes yacen saqueados, han dormido su último sueño. Ninguno de los hombres de guerra puede levantar las manos.
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Ante tu reprimenda, Dios de Jacob, tanto el carro como el caballo son arrojados a un sueño muerto.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Tú, incluso tú, eres de temer. ¿Quién puede estar a tu vista cuando estás enfadado?
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Tú pronunciaste el juicio desde el cielo. La tierra temió y guardó silencio,
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
cuando Dios se levantó para juzgar, para salvar a todos los afligidos de la tierra. (Selah)
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Ciertamente la ira del hombre te alaba. Los supervivientes de tu ira están contenidos.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
¡Haz votos a Yahvé, tu Dios, y cúmplelos! Que todos sus vecinos le traigan regalos a quien debe ser temido.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
cortará el espíritu de los príncipes. Es temido por los reyes de la tierra.