< Zaburi 76 >

1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Conhecido é Deus em Judah: grande é o seu nome em Israel.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
E em Salem está o seu tabernaculo, e a sua morada em Sião.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Ali quebrou as frechas do arco; o escudo, e a espada e a guerra (Selah)
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Tu és mais illustre, ó glorioso, do que os montes de preza.
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Os que são ousados de coração são despojados; dormiram o seu somno, e nenhum dos homens de força achou as suas mãos
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Á tua reprehensão, ó Deus de Jacob, carros e cavallos são lançados n'um somno profundo.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Tu, tu és terrivel; e quem subsistirá á tua vista, uma vez que te irares?
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Desde os céus fizeste ouvir o teu juizo; a terra tremeu e se aquietou,
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
Quando Deus se levantou para fazer juizo, para livrar a todos os mansos da terra (Selah)
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Porque a colera do homem redundará em teu louvor; o restante da colera tu o restringirás.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Fazei votos, e pagae ao Senhor, vosso Deus: tragam presentes, os que estão em redor d'elle, áquelle que é tremendo.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
Elle ceifará o espirito dos principes: é tremendo para com os reis da terra.

< Zaburi 76 >