< Zaburi 76 >

1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Orðstír Drottins er mikill í Júda og Ísrael.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
Bústaður hans er í Jerúsalem. Hann situr á Síonfjalli.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Þar sundurbraut hann vopn óvina okkar.
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Öll háreist fjöll blikna í ljóma dýrðar hans!
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Úrvalslið óvinanna er gjörsigrað! Þeir liggja flatir, sofnaðir svefninum langa. Enginn þeirra getur framar lyft hendi.
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Þegar þú, Guð Jakobs, hastaðir á þá, féllu bæði hestar og riddarar.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Ekki er að undra þótt menn óttist þig! Hver fær staðist reiði Guðs?!
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Þegar þú birtir þeim dóminn frá himnum, þá nötraði jörðin og þagnaði fyrir þér.
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
Þú stígur fram til að refsa illgjörðamönnunum, en verndar hina auðmjúku.
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Þegar við sjáum heimsku og reiði mannanna, þá skiljum við enn betur hve dýrð þín er mikil.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Efnið heitin sem þið gáfuð Drottni, Guði ykkar. Allir sem umhverfis hann eru færa honum gjafir. Þeir nálgast hann með óttablandinni virðingu.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
Hann er sá sem lægir ofstopa höfðingjanna og kemur konungum jarðarinnar á kné!

< Zaburi 76 >