< Zaburi 76 >
1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Dem Sangmeister, mit Saitenspielbegleitung. / Ein Psalm Asafs; ein Lied.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
Wohlbekannt in Juda ist Elohim, / In Israel ist sein Name groß.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Ist doch in Salem sein Zelt / Und seine Wohnung in Zion.
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Dort zerbrach er des Bogens Blitze, / Schild und Schwert und alle Waffen. (Sela)
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Von Licht umflossen bist du, herrlich kommst du / Von den Bergen der Beute her:
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Entwaffnet wurden die Tapfern, sie sanken in Todesschlaf, / Und allen Helden versagte der Arm.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Vor deinem Drohen, Gott Jakobs, / Wurden Roß und Reiter betäubt.
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Du bist furchtbar, ja du! / Wer besteht vor dir, wenn dein Zorn sich erhebt?
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
Vom Himmel herab hast du Gericht verkündet: / Die Erde erschrak und wurde still,
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Als sich Elohim zum Gericht erhob, / Um allen Duldern des Landes zu helfen. (Sela)
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Die mit Wut Verfolgten werden dich preisen; / Die von der Wut Verschonten werden dir Feste feiern.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
Tut Jahwe, eurem Gott, Gelübde und tragt sie ab! / Ihr alle ringsum, bringt dem Erhabnen Geschenke dar! Er bricht der Gewaltigen Trotz, / Flößt der Erde Königen Schrecken ein.