< Zaburi 76 >
1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Psaume d'Asaph, Cantique [donné] au maître chantre, [pour le chanter] sur Neguinoth. Dieu est connu en Judée, sa renommée est grande en Israël;
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
Et son Tabernacle est en Salem, et son domicile en Sion.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Là il a rompu les arcs étincelants, le bouclier, l'épée, et la bataille; (Sélah)
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Tu es resplendissant, [et] plus magnifique que les montagnes de ravage.
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Les plus courageux ont été étourdis, ils ont été dans un profond assoupissement, et aucun de ces hommes vaillants n'a trouvé ses mains.
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Ô Dieu de Jacob, les chariots et les chevaux ont été assoupis quand tu les as tancés.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Tu es terrible, toi; et qui est-ce qui pourra subsister devant toi, dès que ta colère [paraît]?
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Tu as fait entendre des cieux le jugement; la terre en a eu peur, et s'est tenue dans le silence.
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
Quand tu te levas, ô Dieu! pour faire jugement, pour délivrer tous les débonnaires de la terre; (Sélah)
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Certainement la colère de l'homme retournera à ta louange: tu garrotteras le reste de [ces] hommes violents.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Vouez, et rendez vos vœux à l'Eternel votre Dieu, vous tous qui êtes autour de lui, [et] qu'on apporte des dons au Redoutable.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
Il retranche la vie des Conducteurs; il est redoutable aux Rois de la terre.