< Zaburi 76 >

1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
TO THE OVERSEER. WITH STRINGED INSTRUMENTS. A PSALM OF ASAPH. A SONG. God [is] known in Judah, His Name [is] great in Israel.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
And His dwelling place is in Salem, And His habitation in Zion.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
There He has shattered arrows of a bow, Shield, and sword, and battle. (Selah)
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
You [are] bright, majestic above hills of prey.
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
The mighty of heart have spoiled themselves, They have slept their sleep, And none of the men of might found their hands.
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
From Your rebuke, O God of Jacob, Both rider and horse have been fast asleep.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
You, fearful [are] You, And who stands before You, Since You have been angry?
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
You have sounded judgment from the heavens, Earth has feared, and has been still,
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
In the rising of God to judgment, To save all the humble of earth. (Selah)
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
For the fierceness of man praises You, You gird on the remnant of fierceness.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Vow and complete to your God YHWH, All you surrounding Him, They bring presents to the Fearful One.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
He gathers the spirit of leaders, Fearful to the kings of earth!

< Zaburi 76 >