< Zaburi 76 >
1 Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
Yuda fi dunu da Gode dawa: Amola Isala: ili fi dunu da Ea Dio amoma nodone sia: sa.
2 Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
E da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini Ea fifi lasu gala. E da Saione Goumia esala.
3 Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
Amogawi E da ha lai dunu ilia dadi fifili sali. Dafawane! E da ilia da: igene ga: su amola gegesu gobihei amola ilia gegesu liligi huluane fifili sali.
4 Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
Gode! Di da hadigidafa! Di da goumi amoga Di da Dima ha lai dunu hasali, amolalu buhagilala, Dia da hadigi bagadedafa ba: sa.
5 Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
Ilia nimi gesa: i dadi gagui dunu da da: i nabado agoane ba: sa. Amola wali ilia da bogoi ilia diabe defele diala. Ilia gasa amola dawa: hou da ili fidimu hamedei ba: su.
6 Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
Ya: igobe ea Gode! Di da ilima magagiba: le, ilia hosi amola amoga fila heda: i dunu da bogole gala: la sa: i dagoi ba: i.
7 Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
Be Hina Gode! Dunu huluane da Diba: le beda: sa! Di da ougi galea, dunu afaega da Dia midadi aligimu hamedei ba: sa.
8 Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
Di da Hebene amoganini Dia fofada: su osobo bagade dunu dawa: digima: ne sia: i. Di da wa: legadole, osobo bagade banenesi dunu amo gaga: ma: ne, fofada: su ea bai oleleloba, osobo bagade fi dunu da amo nababeba: le, beda: i amola beda: ne ouiyai dialu.
9 wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
Dafawane! Osobo bagade dunu da Dima ougiba: le, Di da nodosu baligili lamu. Dunu amo da gegesu ganodini hame bogoi esalea, da Dia lolo nasu hamonanumu.
11 Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
Dilia da dilia Hina Godema imunu ilegei liligi amo Ema ima. Gadenene esalebe fifi asi gala! Dilia Ema iasu gaguli misa! Gode da osobo bagade dunu beda: ma: ne hamosa.
12 Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.
E da gasa fi hina bagade mano amo fofonobonesisa. Amola E da gasa bagade hina bagade dunu ili baligili beda: ma: ne hamosa.