< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
Para el director del coro. Un Salmo de Asaf. Según la canción “No destruyas”. Una canción. Te agradecemos, oh Dios, porque estás junto a nosotros. Toda la gente habla sobre tus maravillas.
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
Dios dice: “Cuando decida el momento, juzgaré con justicia.
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
Cuando la tierra tiemble, así como sus habitantes, yo la mantendré firme. (Selah)
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
A los que se jactan dije: ‘¡No se jacten!’ Le dije a los malvados: ‘¡Dejen el orgullo!’
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
No, no sean arrogantes y orgullosos, insultando al cielo”.
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
Porque nadie, ni en el este o en el oeste, o incluso en el desierto debe pensar de sí mismo con justicia.
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
Dios es el que decide quién se levantará y quién caerá.
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
Porque el Señor tiene una copa en su mano, llena de vino espumoso mezclado con especias. Él vierte el vino, y todos los malvados lo beberán, hasta la última gota.
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
Pero yo hablaré de ti para siempre. Cantaré alabanzas al Dios de Jacob.
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
Porque Dios dice: “Quebraré el poder de los malvados, pero aumentaré el poder de los justos”.

< Zaburi 75 >