< Zaburi 75 >

1 Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
`To the ouercomere; leese thou not the salm of the song of Asaph. God, we schulen knouleche to thee, `we schulen knouleche; and we schulen inwardli clepe thi name.
2 Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
We schulen telle thi merueilis; whanne Y schal take tyme, Y schal deme riytfulnesses.
3 Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
The erthe is meltid, and alle that duellen ther ynne; Y confermede the pileris therof.
4 Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
I seide to wickid men, Nyle ye do wickidli; and to trespassouris, Nyle ye enhaunce the horn.
5 Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
Nyle ye reise an hiy youre horn; nyle ye speke wickidnesse ayens God.
6 Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
For nether fro the eest, nethir fro the west, nethir fro desert hillis; for God is the iuge.
7 Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
He mekith this man, and enhaunsith hym; for a cuppe of cleene wyn ful of meddling is in the hoond of the Lord.
8 Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
And he bowide of this in to that; netheles the drast therof is not anyntischid; alle synneris of erthe schulen drinke therof.
9 Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
Forsothe Y schal telle in to the world; Y schal synge to God of Jacob.
10 Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”
And Y schal breke alle the hornes of synneris; and the hornes of the iust man schulen be enhaunsid.

< Zaburi 75 >