< Zaburi 74 >

1 Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
En læresalme av Asaf. Hvorfor, Gud, har du forkastet oss for evig tid? Hvorfor ryker din vrede mot den hjord du før?
2 Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
Kom i hu din menighet, som du vant din i fordums tid, som du gjenløste til å være din arvs stamme, Sions berg, hvor du tok bolig!
3 Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
Opløft dine trin til de evige grushoper! Alt har fienden fordervet i helligdommen.
4 Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
Dine motstandere har brølt midt i ditt forsamlingshus; de har satt sine egne tegn op til tegn.
5 Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
Det var et syn som når økser løftes i tykke skogen.
6 Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
Og nu, alt det som fantes av billedverk, det slo de sønder med øks og hammer.
7 Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
De har satt ild på din helligdom; like til grunnen har de vanhelliget ditt navns bolig.
8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
De har sagt i sitt hjerte: Vi vil ødelegge dem alle tilsammen! De har opbrent alle Guds forsamlingshus i landet.
9 Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
Våre egne tegn ser vi ikke; det er ikke nogen profet mere, ikke nogen hos oss som vet hvor lenge det skal vare.
10 Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
Hvor lenge, Gud, skal motstanderen håne, fienden forakte ditt navn evindelig?
11 Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
Hvorfor drar du din hånd, din høire hånd tilbake? Ta den ut av din barm og ødelegg!
12 Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
Gud er dog min konge fra fordums tid, han som skaper frelse på den vide jord.
13 Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
Du er den som skilte havet med din styrke, knuste dragenes hoder på vannene.
14 Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
Du sønderslo Leviatans hoder, du gav den til føde for ørkenens folk.
15 Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
Du lot kilde og bekk bryte frem, du uttørket evige strømmer.
16 Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
Dig hører dagen til, dig også natten; du har skapt himmellysene og solen.
17 Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
Du har fastsatt alle jordens grenser; sommer og vinter - du har dannet dem.
18 Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
Kom dette i hu: Fienden har hånet Herren, og et dårlig folk har foraktet ditt navn!
19 Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
Overgi ikke din turteldue til den mordlystne skare, glem ikke dine elendiges skare evindelig!
20 Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
Se til pakten! For landets mørke steder er fulle av volds boliger.
21 Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
La ikke den undertrykte vende tilbake med skam, la den elendige og fattige love ditt navn!
22 Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
Reis dig, Gud, før din sak, kom i hu at du blir hånet av dåren hele dagen!
23 Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.
Glem ikke dine fienders røst, dine motstanderes bulder, som stiger op all tid!

< Zaburi 74 >