< Zaburi 74 >

1 Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
O Dio, perché ci respingi per sempre, perché divampa la tua ira contro il gregge del tuo pascolo? Maskil. Di Asaf.
2 Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
Ricordati del popolo che ti sei acquistato nei tempi antichi. Hai riscattato la tribù che è tuo possesso, il monte Sion, dove hai preso dimora.
3 Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
Volgi i tuoi passi a queste rovine eterne: il nemico ha devastato tutto nel tuo santuario.
4 Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
Ruggirono i tuoi avversari nel tuo tempio, issarono i loro vessilli come insegna.
5 Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
Come chi vibra in alto la scure nel folto di una selva,
6 Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
con l'ascia e con la scure frantumavano le sue porte.
7 Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
Hanno dato alle fiamme il tuo santuario, hanno profanato e demolito la dimora del tuo nome;
8 Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
pensavano: «Distruggiamoli tutti»; hanno bruciato tutti i santuari di Dio nel paese.
9 Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
Non vediamo più le nostre insegne, non ci sono più profeti e tra di noi nessuno sa fino a quando...
10 Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
Fino a quando, o Dio, insulterà l'avversario, il nemico continuerà a disprezzare il tuo nome?
11 Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
Perché ritiri la tua mano e trattieni in seno la destra?
12 Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
Eppure Dio è nostro re dai tempi antichi, ha operato la salvezza nella nostra terra.
13 Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
Tu con potenza hai diviso il mare, hai schiacciato la testa dei draghi sulle acque.
14 Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
Al Leviatàn hai spezzato la testa, lo hai dato in pasto ai mostri marini.
15 Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
Fonti e torrenti tu hai fatto scaturire, hai inaridito fiumi perenni.
16 Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
Tuo è il giorno e tua è la notte, la luna e il sole tu li hai creati.
17 Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
Tu hai fissato i confini della terra, l'estate e l'inverno tu li hai ordinati.
18 Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
Ricorda: il nemico ha insultato Dio, un popolo stolto ha disprezzato il tuo nome.
19 Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
Non abbandonare alle fiere la vita di chi ti loda, non dimenticare mai la vita dei tuoi poveri.
20 Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
Sii fedele alla tua alleanza; gli angoli della terra sono covi di violenza.
21 Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
L'umile non torni confuso, l'afflitto e il povero lodino il tuo nome.
22 Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
Sorgi, Dio, difendi la tua causa, ricorda che lo stolto ti insulta tutto il giorno.
23 Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.
Non dimenticare lo strepito dei tuoi nemici; il tumulto dei tuoi avversari cresce senza fine.

< Zaburi 74 >