< Zaburi 73 >

1 Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
Как благ Бог к Израилю, к чистым сердцем!
2 Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
А я - едва не пошатнулись ноги мои, едва не поскользнулись стопы мои, -
3 kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
я позавидовал безумным, видя благоденствие нечестивых,
4 Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
ибо им нет страданий до смерти их, и крепки силы их;
5 Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
на работе человеческой нет их, и с прочими людьми не подвергаются ударам.
6 Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
Оттого гордость, как ожерелье, обложила их, и дерзость, как наряд, одевает их;
7 Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
выкатились от жира глаза их, бродят помыслы в сердце;
8 Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
над всем издеваются, злобно разглашают клевету, говорят свысока;
9 Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
поднимают к небесам уста свои, и язык их расхаживает по земле.
10 Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
Потому туда же обращается народ Его, и пьют воду полною чашею,
11 Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
и говорят: “как узнает Бог? и есть ли ведение у Вышнего?”
12 Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
И вот, эти нечестивые благоденствуют в веке сем, умножают богатство.
13 Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
Так не напрасно ли я очищал сердце мое и омывал в невинности руки мои,
14 Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
и подвергал себя ранам всякий день и обличениям всякое утро?
15 Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
Но если бы я сказал: “буду рассуждать так”, - то я виновен был бы пред родом сынов Твоих.
16 Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
И думал я, как бы уразуметь это, но это трудно было в глазах моих,
17 Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
доколе не вошел я во святилище Божие и не уразумел конца их.
18 Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
Так! на скользких путях поставил Ты их и низвергаешь их в пропасти.
19 Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
Как нечаянно пришли они в разорение, исчезли, погибли от ужасов!
20 Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
Как сновидение по пробуждении, так Ты, Господи, пробудив их, уничтожишь мечты их.
21 Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
Когда кипело сердце мое, и терзалась внутренность моя,
22 Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
тогда я был невежда и не разумел; как скот был я пред Тобою.
23 Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
Но я всегда с Тобою: Ты держишь меня за правую руку;
24 Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
Ты руководишь меня советом Твоим и потом примешь меня в славу.
25 Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
Кто мне на небе? и с Тобою ничего не хочу на земле.
26 Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
Изнемогает плоть моя и сердце мое: Бог твердыня сердца моего и часть моя вовек.
27 Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
Ибо вот, удаляющие себя от Тебя гибнут; Ты истребляешь всякого отступающего от Тебя.
28 Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.
А мне благо приближаться к Богу! На Господа Бога я возложил упование мое, чтобы возвещать все дела Твои.

< Zaburi 73 >