< Zaburi 73 >

1 Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
psalmus Asaph quam bonus Israhel Deus his qui recto sunt corde
2 Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
mei autem paene moti sunt pedes paene effusi sunt gressus mei
3 kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
quia zelavi super iniquis pacem peccatorum videns
4 Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
quia non est respectus morti eorum et firmamentum in plaga eorum
5 Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
in labore hominum non sunt et cum hominibus non flagellabuntur
6 Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
ideo tenuit eos superbia operti sunt iniquitate et impietate sua
7 Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
prodiet quasi ex adipe iniquitas eorum transierunt in affectum cordis
8 Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
cogitaverunt et locuti sunt in nequitia iniquitatem in excelso locuti sunt
9 Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
posuerunt in caelum os suum et lingua eorum transivit in terra
10 Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
ideo convertetur populus meus hic et dies pleni invenientur in eis
11 Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
et dixerunt quomodo scit Deus et si est scientia in Excelso
12 Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
ecce ipsi peccatores et abundantes in saeculo obtinuerunt divitias
13 Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
et dixi ergo sine causa iustificavi cor meum et lavi inter innocentes manus meas
14 Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
et fui flagellatus tota die et castigatio mea in matutino
15 Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
si dicebam narrabo sic ecce nationem filiorum tuorum reprobavi
16 Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
et existimabam cognoscere hoc labor est ante me
17 Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
donec intrem in sanctuarium Dei intellegam in novissimis eorum
18 Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
verumtamen propter dolos posuisti eis deiecisti eos dum adlevarentur
19 Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
quomodo facti sunt in desolationem subito defecerunt perierunt propter iniquitatem suam
20 Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
velut somnium surgentium Domine in civitate tua imaginem ipsorum ad nihilum rediges
21 Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
quia inflammatum est cor meum et renes mei commutati sunt
22 Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
et ego ad nihilum redactus sum et nescivi
23 Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
ut iumentum factus sum apud te et ego semper tecum
24 Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
tenuisti manum dexteram meam et in voluntate tua deduxisti me et cum gloria suscepisti me
25 Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
quid enim mihi est in caelo et a te quid volui super terram
26 Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
defecit caro mea et cor meum Deus cordis mei et pars mea Deus in aeternum
27 Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
quia ecce qui elongant se a te peribunt perdidisti omnem qui fornicatur abs te
28 Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.
mihi autem adherere Deo bonum est ponere in Domino Deo spem meam ut adnuntiem omnes praedicationes tuas in portis filiae Sion

< Zaburi 73 >