< Zaburi 73 >

1 Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
Nur gut gegen Israel ist Gott, gegen die, so lauteren Herzens sind.
2 Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
Ich aber, um ein Kleines, so hätten sich meine Füße abgewendet, wie nichts, so wären ausgeglitten meine Tritte.
3 kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
Denn ich eiferte gegen die sich Rühmenden, ich sah den Frieden der Ungerechten.
4 Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
Sie sind nicht in Banden, bis zu ihrem Tode; und feist ist ihr Leib.
5 Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
In der Mühsal des Menschen sind sie nicht, und sind nicht mit dem Menschen geplagt.
6 Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
Darum ist Übermut ihr Halsband, Gewalttat hüllt sie als Putz.
7 Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
Vor Fett tritt hervor ihr Auge; des Herzens Einbildungen gehen über.
8 Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
Sie höhnen und reden im Bösen von Plackerei, sie reden aus der Höhe.
9 Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
Sie setzen in den Himmel ihren Mund, und ihre Zunge geht auf der Erde.
10 Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
Darum kehrt Sein Volk dahin zurück, und des Wassers Fülle wird ihnen ausgepreßt.
11 Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
Und sie sprechen: Wie sollte Gott es wissen, und Kunde bei dem Höchsten sein?
12 Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
Siehe, das sind die Ungerechten, sie sind sorglos im Zeitalter; sie vermehren das Vermögen.
13 Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
Nur umsonst hielt lauter ich mein Herz, und wusch in Unschuld meine Hände.
14 Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
Und ich werde jeden Tag geplagt und in den Morgen wird mir Rüge.
15 Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
Spräche ich: Ich will wie jene reden, siehe, so werde ich treulos an dem Geschlechte Deiner Söhne.
16 Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
Und ich dachte das zu wissen: Mühsal war es in meinen Augen.
17 Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
Bis ich in Gottes Heiligtümer einging und merkte auf ihr Letztes.
18 Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
Du stellst sie nur aufs Schlüpfrige und läßt sie in Verstörung fallen.
19 Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
Wie sind sie doch im Augenblick verwüstet, dahingerafft und mit Bestürzung zunichte worden!
20 Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
Wie einen Traum nach dem Erwachen verachtest Du, Herr, beim Aufwachen ihr Bild.
21 Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
Als es in meinem Herzen gor und mich in die Nieren stach;
22 Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
Da ich noch tierisch war und nichts wußte, war ich wie das Vieh bei Dir.
23 Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
Ich aber war bei Dir beständig, du ergriffst mich bei meiner Rechten,
24 Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
Nach Deinem Ratschluß führst Du mich und nimmst mich nachher auf in Herrlichkeit.
25 Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
Wen habe ich im Himmel? Und neben Dir habe keine Lust ich an der Erde.
26 Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
Verzehrt ist mein Fleisch und mein Herz, Fels meines Herzens, und mein Teil ist Gott in Ewigkeit.
27 Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
Denn siehe, die ferne sind von Dir, vergehen, Du vertilgst alle, die von Dir abbuhlen.
28 Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.
Mir aber ist die Nähe Gottes gut. In den Herrn Jehovah setze ich meine Zuversicht, daß alle Deine Werke ich erzähle.

< Zaburi 73 >