< Zaburi 72 >

1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
Para Salomón. Oh Dios, da tus juicios al rey, y tu justicia al hijo del rey.
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
El juzgará tu pueblo con justicia, y tus pobres con juicio.
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
Los montes llevarán paz al pueblo, y los collados, por justicia.
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
Juzgará los pobres del pueblo, salvará los hijos del menesteroso, y quebrantará al violento.
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
Te temerán con el sol y antes de la luna, por generación de generaciones.
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
Descenderá como la lluvia sobre la hierba cortada; como el rocío que destila sobre la tierra.
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
Florecerá en sus días justicia, y muchedumbre de paz, hasta que no haya luna.
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
Y dominará de mar a mar, y desde el río hasta los confines de la tierra.
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
Delante de él se postrarán los etíopes; y sus enemigos lamerán la tierra.
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
Los reyes de Tarsis y de las islas traerán presentes; los reyes de Sabá y de Seba ofrecerán dones.
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
Y se arrodillarán a él todos los reyes; le servirán todos los gentiles.
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
Porque él librará al menesteroso que clamare, y al pobre que no tuviere quién le socorra.
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
Tendrá misericordia del pobre y del menesteroso, y salvará las almas de los pobres en espíritu.
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
De engaño y de fraude redimirá sus almas; y la sangre de ellos será preciosa en sus ojos.
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
Y vivirá, y se le dará del oro de Sabá; y se orará por él continuamente; cada día le echará bendiciones.
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
Será echado un puño de grano en tierra, en las cumbres de los montes; su fruto hará estruendo como el Líbano, y desde la ciudad verdecerán como la hierba de la tierra.
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
Será su Nombre para siempre, delante del sol será propagado su Nombre; y bendecirán en él todos los gentiles; lo llamarán bienaventurado.
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
Bendito el SEÑOR Dios, el Dios de Israel, el único que hace maravillas.
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
Y bendito su Nombre glorioso para siempre; y toda la tierra sea llena de su gloria. Amén y Amén.
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
Aquí terminan las oraciones de David, hijo de Isaí.

< Zaburi 72 >