< Zaburi 72 >

1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
Un de Salomón. Dios, por favor, dale al rey sentido de justicia y la capacidad para hacer lo recto con el hijo del rey.
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
Que juzgue a tu pueblo con rectitud y que sea justo con los pobres.
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
Que los montes traigan paz al pueblo, y las colinas bondad.
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
Que defienda al pobre y salve a sus hijos. Que aplaste a quienes los oprimen.
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
Que ellos lo respeten tanto como brille el sol y la luna en los cielos, por todas las generaciones.
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
Que su reino sea como la lluvia que cae sobre la hierba nueva, como el rocío que riega la tierra.
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
Que los que viven en justicia prosperen bajo su gobierno, y que haya prosperidad hasta que la luna no salga más.
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
Que gobierne de un mar a otro, de un rio a otro y en todos los extremos de la tierra.
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
Las tribus que habitan en el desierto se arrodillarán ante él, y sus enemigos comerán del polvo de la tierra.
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
Los reyes de Tarsis y las islas le traerán tributos; y los reyes de Saba y Seba vendrán con regalos.
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
Cada rey se arrodillará ante él; cada nación le servirá.
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
Él ayudará al pobre cuando clame a él, y ayudará a los que sufren y no tienen quien los ayude.
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
Él tiene compasión de los pobres y necesitados. ¡Él es quien salva sus vidas!
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
Él los rescata de la violencia y la opresión, porque sus vidas son de gran valor para él.
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
¡Que viva para siempre! Que Saba le regale todo su oro. Que el pueblo siempre ore por él y lo bendiga todo el día.
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
Que haya abundancia de grano en la tierra, incluso que crezca en lo alto de las montañas. Que el fruto de los árboles cuelgue como en los árboles del Líbano. Que la gente de la ciudad prospere como la hierba en el campo.
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
Que su renombre dure para siempre, tanto como el sol. Que todas las naciones Sean bendecidas a través de él, y que todas lo alaben.
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
¡Alaben al Señor, Dios de Israel, porque es el único que puede hacer tales maravillas!
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
¡Alaben su maravilloso nombre para siempre! ¡Que todo el mundo sea lleno de su gloria! ¡Amén y amén!
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
(Este es el fin de los Salmos de David, hijo de Isaí).

< Zaburi 72 >