< Zaburi 72 >
1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
in Salomonem
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
Deus iudicium tuum regi da et iustitiam tuam filio regis iudicare populum tuum in iustitia et pauperes tuos in iudicio
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
suscipiant montes pacem populo et colles iustitiam
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
iudicabit pauperes populi et salvos faciet filios pauperum et humiliabit calumniatorem
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
et permanebit cum sole et ante lunam generationes generationum
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
descendet sicut pluvia in vellus et sicut stillicidia stillantia super terram
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
orietur in diebus eius iustitia et abundantia pacis donec auferatur luna
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
et dominabitur a mari usque ad mare et a flumine usque ad terminos orbis terrarum
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
coram illo procident Aethiopes et inimici eius terram lingent
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
reges Tharsis et insulae munera offerent reges Arabum et Saba dona adducent
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
et adorabunt eum omnes reges omnes gentes servient ei
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
quia liberavit pauperem a potente et pauperem cui non erat adiutor
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
parcet pauperi et inopi et animas pauperum salvas faciet
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
ex usuris et iniquitate redimet animas eorum et honorabile nomen eorum coram illo
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
et vivet et dabitur ei de auro Arabiae et orabunt de ipso semper tota die benedicent ei
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
erit firmamentum in terra in summis montium superextolletur super Libanum fructus eius et florebunt de civitate sicut faenum terrae
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
sit nomen eius benedictum in saecula ante solem permanet nomen eius et benedicentur in ipso omnes tribus terrae omnes gentes beatificabunt eum
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
benedictus Dominus Deus Deus Israhel qui facit mirabilia solus
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
et benedictum nomen maiestatis eius in aeternum et replebitur maiestate eius omnis terra fiat fiat
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
defecerunt laudes David filii Iesse