< Zaburi 72 >

1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
Psaume pour Salomon.
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
Dieu, donnez votre jugement au roi; et votre justice au fils du roi.
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
Que les montagnes reçoivent la paix pour le peuple, et les collines la justice.
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
Il jugera les pauvres du peuple; il sauvera les fils des pauvres, et il humiliera le calomniateur.
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
Il subsistera avec le soleil et devant la lune, dans toutes les générations.
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
Il descendra comme la pluie sur une toison; et comme des eaux qui tombent goutte à goutte sur la terre.
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
Dans ses jours s’élèvera la justice, et une abondance de paix: jusqu’à ce que la lune disparaisse entièrement.
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
Et il dominera depuis une mer jusqu’à une autre mer, et depuis un fleuve jusqu’aux limites de la terre.
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
Devant lui se prosterneront les Éthiopiens; et ses ennemis lécheront la poussière.
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
Les rois de Tharsis et les îles lui offriront des présents; des rois d’Arabie et de Saba lui apporteront des dons;
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
Et tous les rois de la terre l’adoreront: toutes les nations le serviront;
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
Parce qu’il délivrera le pauvre du puissant; et le pauvre qui n’avait point d’aide.
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
Il traitera avec ménagement le pauvre et l’homme sans ressource; et il sauvera les âmes des pauvres.
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
Des usures et de l’iniquité il rachètera leurs âmes; et honorable sera leur nom devant lui.
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
Et il vivra, et on lui donnera de l’or de l’Arabie, et on adorera toujours à son sujet: tout le jour on le bénira.
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
Et il y aura du froment sur la terre, sur des sommets de montagnes; au-dessus du Liban s’élèvera son fruit: et les habitants de la cité fleuriront comme l’herbe de la terre.
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
Que son nom soit béni dans les siècles; avant le soleil subsiste son nom.
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
Béni le Seigneur, le Dieu d’Israël, qui fait des merveilles seul;
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
Et béni le nom de sa majesté éternellement: et toute la terre en sera remplie: ainsi soit, ainsi soit.
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
Sont finies les louanges de David, fils de Jessé.

< Zaburi 72 >