< Zaburi 72 >
1 Mpe mfalme amri ya haki yako, Mungu, haki yako kwa wana wa mfalme.
Af Salomo. Gud, giv Kongen din ret, Kongesønnen din retfærd,
2 Naye awaamue watu wako kwa haki na maskini wako kwa haki sawa.
saa han dømmer dit Folk med Retfærdighed og dine arme med Ret!
3 Milima iwazalie watu amani; vilima navyo vizae haki.
Da bærer Bjerge og Høje Fred for Folket i Retfærd.
4 Naye awahukumu watu maskini; awaokoe watoto wa wahitaji na kuwavunja vipande vipande wenye kuwatesa.
De arme blandt Folket skaffer han Ret, han bringer de fattige Frelse, og han slaar Voldsmanden ned.
5 Na wakuheshimu wewe wakati wa jua, na kwa kipindi cha kudumu kwa mwezi katika vizazi vyote.
Han skal leve, saa længe Solen lyser og Maanen skinner, fra Slægt til Slægt.
6 Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
Han kommer som Regn paa slagne Enge, som Regnskyl, der væder Jorden;
7 Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
i hans Dage blomstrer Retfærd, og dyb Fred raader, til Maanen forgaar.
8 Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.
Fra Hav til Hav skal han herske, fra Floden til Jordens Ender;
9 Na wote waishio jangwani wainame mbele zake; adui zake na walambe mavumbi.
hans Avindsmænd bøjer Knæ for ham, og hans Fjender slikker Støvet;
10 Wafalme wa Tashishi na visiwa walete kodi; wafalme wa Sheba na Seba watoe zawadi.
Konger fra Tarsis og fjerne Strande frembærer Gaver, Sabas og Sebas Konger kommer med Skat;
11 Hakika wafalme wote wamwinamie yeye; mataifa yote yamtumikie yeye.
alle Konger skal bøje sig for ham, alle Folkene være hans Tjenere.
12 Kwa kuwa yeye humsaidia mhitaji na maskini asiye na msaidizi.
Thi han skal redde den fattige, der skriger om Hjælp, den arme, der savner en Hjælper,
13 Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
ynkes over ringe og fattig og frelse fattiges Sjæle;
14 Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
han skal fri deres Sjæle fra Uret og Vold, deres Blod er dyrt i hans Øjne.
15 Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.
Maatte han leve og Guld fra Saba gives ham! De skal bede for ham bestandig, velsigne ham Dagen igennem.
16 Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
Korn skal der være i Overflod i Landet, paa Bjergenes Top; som Libanon skal dets Afgrøde bølge og Folk spire frem af Byen som Jordens Urter.
17 Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
Velsignet være hans Navn evindelig, hans Navn skal leve, mens Solen skinner. Ved ham skal man velsigne sig, alle Folk skal prise ham lykkelig!
18 Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.
Lovet være Gud HERREN, Israels Gud, som ene gør Undergerninger,
19 Jina lake tukufu litukuzawe milele, nayo nchi yote ijazwe na utukufu wake. Amina, Amina.
og lovet være hans herlige Navn evindelig; al Jorden skal fyldes af hans Herlighed. Amen, Amen!
20 Maombi ya Daudi mwana wa Yese yamemalizika. Kutatu cha tatu
Her ender Davids, Isajs Søns, Bønner.