< Zaburi 71 >

1 Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
K tebi, Gospod, pribegam, sram me ne bodi nikdar.
2 Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
Po pravici tvoji ótmi me in oprosti me; nagni k meni uho svoje in réši me.
3 Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Bodi mi skala, na kateri naj prebivam, kamor naj zahajam vedno; zapoved si dal, da naj se rešim, ker skala moja si in trdnjava moja.
4 Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
Bog moj, reši me iz roke njegove, ki dela nepravično in neusmiljeno.
5 Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
Ker ti si nada moja, Bog Gospod; upanje moje od moje mladosti.
6 Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
Nate se opiram od poroda; od osrčja matere moje odtrgal si me tí; v tebi je hvala moja neprestano.
7 Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
Kakor čudo bil sem mnogim; tako si mi krepko zavetje.
8 Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
Napolnijo naj se s hvalo tvojo usta moja, ves dan sè slavo tvojo.
9 Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
Ne zavrzi me o starosti času; ko peša krepost moja, ne zapústi me;
10 Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
Ker sovražniki moji govoré o meni, in oni, ki prežé na dušo mojo, posvetujejo se vkup,
11 Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
Govoreč: Bog ga zapušča, podite in zgrabite ga; ker ni ga, da bi ga rešil.
12 Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
Bog, ne bivaj daleč od mene, Bog moj, na pomoč mi hiti.
13 Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
Osramoté se naj in poginejo nasprotniki duše moje; pokrijejo naj se z nečastjo in sramoto, kateri iščejo hudega meni.
14 Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
Jaz pa sem v nadi neprestano o vsej hvali tvoji, in bodem stanoviten.
15 Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
Usta moja hočejo oznanjati pravico tvojo, vsak dan blaginjo tvojo: dasi ne znam števil njenih.
16 Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
Poprijel se bodem vsake kreposti, Bog Gospod; oznanjal bodem pravico samega tebe.
17 Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
Bog, učil si me od mladosti moje, in do sedaj sem oznanjal čuda tvoja.
18 Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
Torej tudi toliko časa, ko sem star in siv, Bog, ne zapústi me; dokler bodem oznanjal roko tvojo temu rodu, vsakemu prihodnjemu rodu krepost tvojo.
19 Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Ker pravica tvoja, Bog, seza do višav; ker stvari delaš velike, Bog; kdó je tebi enak?
20 Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
Ker potem ko si dal, da sem izkusil stiske velike in hude, poživljaš me zopet, in iz brezen zemlje daješ da zopet vstajam.
21 Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
Velikost mojo množiš, in ustaviš se ter me tolažiš.
22 Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
Tudi jaz te bodem slavil sè strunami, in zvestobo tvojo, moj Bog; prepeval ti bodem s citrami, o svetnik Izraelov!
23 Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
Pevale bodo ustne moje, ko ti bodem prepeval, in duša moja, k si jo otél.
24 Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.
Tudi jezik moj bode vsak dan oznanjal pravico tvojo, ker bodo se sramovali, ker sè sramoto bodo obliti, ki iščejo hudega meni.

< Zaburi 71 >