< Zaburi 71 >
1 Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
HERRE, jeg lider paa dig, lad mig aldrig i evighed skuffes.
2 Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
Frels mig og udfri mig i din Retfærdighed, du bøje dit Øre til mig;
3 Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
red mig og vær mig en Tilflugtsklippe, en Klippeborg til min Frelse; thi du er min Klippe og Borg!
4 Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
Min Gud, fri mig ud af gudløses Haand, af Niddings og Voldsmands Kløer;
5 Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
thi du er mit Haab, o Herre! Fra min Ungdom var HERREN min Tillid;
6 Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
fra Moders Skød har jeg støttet mig til dig, min Forsørger var du fra Moders Liv, dig gælder altid min Lovsang.
7 Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
For mange staar jeg som mærket af Gud, men du er min stærke Tilflugt;
8 Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
min Mund er fuld af din Lovsang, af din Ære Dagen lang.
9 Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
Forkast mig ikke i Alderdommens Tid og svigt mig ikke, nu Kraften svinder;
10 Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
thi mine Fjender taler om mig, de, der lurer paa min Sjæl, holder Raad:
11 Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
»Gud har svigtet ham! Efter ham! Grib ham, thi ingen frelser!«
12 Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
Gud, hold dig ikke borte fra mig, il mig til Hjælp, min Gud;
13 Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
lad dem blive til Skam og Skændsel, dem, der staar mig imod, lad dem hylles i Spot og Spe, dem, der vil mig ondt!
14 Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
Men jeg, jeg vil altid haabe, blive ved at istemme din Pris;
15 Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
min Mund skal vidne om din Retfærd, om din Frelse Dagen lang; thi jeg kender ej Ende derpaa.
16 Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
Jeg vil minde om den Herre HERRENS Vælde, lovsynge din Retfærd, kun den alene.
17 Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
Gud, du har vejledt mig fra min Ungdom af, dine Undere har jeg forkyndt til nu.
18 Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
Indtil Alderdommens Tid og de graanende Haar svigte du mig ikke, o Gud. End skal jeg prise din Arm for alle kommende Slægter.
19 Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Din Vælde og din Retfærdighed naar til Himlen, o Gud; du, som øvede store Ting, hvo er din Lige, Gud?
20 Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
Du, som lod os skue mangefold Trængsel og Nød, du kalder os atter til Live og drager os atter af Jordens Dyb;
21 Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
du vil øge min Storhed og atter trøste mig.
22 Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
Til Gengæld vil jeg til Harpespil prise din Trofasthed, min Gud, lege paa Citer for dig, du Israels Hellige;
23 Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
juble skal mine Læber — ja, jeg vil lovsynge dig — og min Sjæl, som du udløste;
24 Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.
ogsaa min Tunge skal Dagen igennem forkynde din Retfærd, thi Skam og Skændsel faar de, som vil mig ilde.