< Zaburi 7 >

1 Yahweh Mungu wangu, kwako napata kimbilio! Uninusuru na hao wote wanikimbizao, na uniokoe.
MAING, i kin liki komui Ieowa, ai Kot. Kom kotin sauasa ia ong ai imwintiti kan karos, o kotin dore ia la,
2 Vinginevyo, watanipura kama simba, na kunitawanya viapande vipande na asiwepo mtu wa kuweza kunirudisha katika usalama.
Pwe ren der dueta laien amen kol ia di o tapeng ia pasang, pwe sota pil amen saundor.
3 Yawheh Mungu wangu, Sijawahi kufanya kile maadui zangu wanacho sema nilifanya; sina hatia katika mikono yangu.
Maing, ai Kot, ma i wiadar mepukat, o ma pa i kat wiadar sapung,
4 Sijawahi kumkosea mtu yeyote aliye na amani na mimi, au kumdhuru kipumbavu yeyote aliye kinyume na mimi.
O ma i depukki mesued en akai ar wiawia mau ong ia, pwe i dorelar, me imwintiti ong ia, ap sota karepa,
5 Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. (Selah)
A ma so due, ai imwintiti en kaloke ia, o kol ia di, o tiakedi maur i nani pwel, o kawela mar ai. (Sela)
6 Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
Maing, kom kotida ni omui ongiong o kotin palian makar en ai imwintiti kan, o kotin opadang ia, pwe re kotin inau kidar kapung,
7 Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
Pwe wei kan pan pokon dong ir; o re kotin purodala pweki irail.
8 Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
Ieowa iei saunkapung en wei kan. Maing, kotin sauasa ia, duen ai pung o duen ai lelapok!
9 Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
Re kotin kadukiedi mesued en me doo sang Kot akan, ap kotin katengedi me pung kan. Pwe komui Kot pung, kin kotin kasaui mongiong o mudilik kan.
10 Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
Kot iei pere pa i, me kin kotin sauasa me melel ni mongiong arail.
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
Kot saunkapung pung amen, me kotin ongiongada ni ran karos.
12 Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
Ma meamen sota pan wukila, a ap kotin ada sapwilim a kodlas o onopada kasik katieu o kainene wong i,
13 Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
O kotin pwil poa kanangan kasik katieu men kamela. A kotin kaonopada sapwilim a kanangan kasik katieu, pwe men karongala.
14 Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
Kilang, a lamelam me dir en sued, a lisenaneki men kaokaoe o pan naitikedi likam.
15 Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
A weiradar por eu o wiadar lolia, ap pein pupedi ong lole, me a weiradar.
16 Mipango yake mwenyewe ya uharibifu hugeukia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake mwenyewe humshukia kichwani pake.
A men kamela pan sapale dong pein mong a, o a dodok sued pan pupedi ong pein a al en wel.
17 Kwa haki yako Mungu nitakushukuru; nitaimba sifa kwa Mungu aliye juu.
I pan kapinga Ieowa, pweki a pung, o i pan kauleki mar en Ieowa me lapalapia.

< Zaburi 7 >