< Zaburi 7 >

1 Yahweh Mungu wangu, kwako napata kimbilio! Uninusuru na hao wote wanikimbizao, na uniokoe.
Ry Iehovà Andrianañahareko, Ihe ro fitsolohako, avotsoro amo mañoridañe ahikoo, le hahao;
2 Vinginevyo, watanipura kama simba, na kunitawanya viapande vipande na asiwepo mtu wa kuweza kunirudisha katika usalama.
Tsy mone ho ritaritae’e hoe liona ty fiaiko, hirofodrofota’e tsy amam-pañolotse.
3 Yawheh Mungu wangu, Sijawahi kufanya kile maadui zangu wanacho sema nilifanya; sina hatia katika mikono yangu.
Ry Iehovà Andrianañahareko, naho nanoeko zao: lehe an-tañako ty hatsivokarañe,
4 Sijawahi kumkosea mtu yeyote aliye na amani na mimi, au kumdhuru kipumbavu yeyote aliye kinyume na mimi.
naho vinaleko haratiañe ty rañeko; (hera) nivoloseko tsy amam-poto’e ty nañembets’ ahy;
5 Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. (Selah)
Le ho hotrohe’ ty rafelahiko, hiambotraha’e; ho lialià’e an-tane ty haveloko, vaho hado’e an-debok’ ao ty engeko. Selà
6 Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
Miongaha, ry Iehovà, an-kaviñera’o, miavota ty amo fitrotrofiaha’ o rafelahikoo. mivañona ty amako amy zaka kinoi’oy.
7 Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
Hiarikatok’ ama’o ty fivori’ ondatio, vaho mibaliha hifehea’o boak’añ’abo ey.
8 Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
Ry Iehovà Mpizaka o kilakila ‘ndatio; zakao iraho ry Iehovà, ty amy havantañako naho ty havañonako an-trok’ ao.
9 Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
Hijihetse ty haratia’ o lo-tserekeo naho hajado’o o vañoñeo, fa mpitsòke arofo naho ova t’i Andrianañahare vantañe.
10 Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
Aman’Añahare ao ty fikalako Ie mpandrombake o vañon-trokeo.
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
Mpizaka to t’i Andrianañahare, Eka, torifike boak’ andro t’i Andrianañahare;
12 Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
Aa naho tsy mimpoly t’indaty: le ho sioña’e i fibara’ey; fa navoho’e ty fale’e vaho nihajarie’e;
13 Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
Fa nihentseñe’e fialiañe mahafate, ampibelabelae’ afo o ana-pàle’eo.
14 Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
Hehe t’ie tsongoen-tsihavokarañe, ie nampiareñe kilily vaho hiterake i remborake;
15 Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
Nihaly kobon-dre naho nampigorabahe’e, vaho tafajorobo amy hinali’ey.
16 Mipango yake mwenyewe ya uharibifu hugeukia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake mwenyewe humshukia kichwani pake.
Toe hibalik’ an-doha’e avao ty fikitroha’e raty, vaho hivotrak’ an-kevo’e eo i nandovia’ey.
17 Kwa haki yako Mungu nitakushukuru; nitaimba sifa kwa Mungu aliye juu.
Andriañeko t’Iehovà ty amy havantaña’ey, ho bangoeko an-tsabo ty tahina’ Iehovà Andindimoneñe.

< Zaburi 7 >