< Zaburi 7 >

1 Yahweh Mungu wangu, kwako napata kimbilio! Uninusuru na hao wote wanikimbizao, na uniokoe.
Kathutkung: Devit, Devit teh Benjamin tami Kush e lawk kecu dawk BAWIPA hmalah a sak e la Oe BAWIPA, ka Cathut, nang teh na kâuep. Na ka pacekpahlek e pueng koehoi na rungngang nateh na hlout sak haw.
2 Vinginevyo, watanipura kama simba, na kunitawanya viapande vipande na asiwepo mtu wa kuweza kunirudisha katika usalama.
Hoehpawiteh, sendek patetlah na kei vaiteh, rungngangkung ao hoehnahlan vah, na paset awh han doeh.
3 Yawheh Mungu wangu, Sijawahi kufanya kile maadui zangu wanacho sema nilifanya; sina hatia katika mikono yangu.
Oe BAWIPA ka Cathut, kai ni hottelah ka sak vaiteh, ka kut dawk payonnae kaawm nakunghai,
4 Sijawahi kumkosea mtu yeyote aliye na amani na mimi, au kumdhuru kipumbavu yeyote aliye kinyume na mimi.
Kai koe duem kaawm e hah thoenae hoi ka patho teh, ka tarannaw hah a khuekhaw awm laipalah ka coungroe pawiteh,
5 Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. (Selah)
taran ni na pâlei naseh, na phat naseh. Kahringnae hah talai dawk repcoungroe awh naseh. Minhmai barinae hah vaiphu dawk tat awh naseh. (Selah)
6 Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
Oe BAWIPA, lungkhuek laihoi thaw haw, ka tarannaw e lungkhueknae hah ngang haw. Kâ na poe tangcoung patetlah kai han lawkceng hanlah thaw haw.
7 Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
Miphunnaw kamkhueng awh vaiteh, nang hah na kalup awh han. Ahnimouh hanlah arasangnae koe ban haw.
8 Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
BAWIPA ni lawk a ceng han. Oe BAWIPA, ka lannae hoi ka thung kaawm e yuemkamcu lah ka o e patetlah lawk na ceng haw.
9 Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
Oe tamikathoutnaw, thoenae teh poutsak lah awm lawiseh. Hatei, lannae teh caksak lah awm seh. Bangkongtetpawiteh, ka lan e Cathut ni lungthin hoi pouknae hah ouk a tanouk.
10 Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
Lungthin kalannaw rungngangkung Cathut teh kai kânguenae lah ao.
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
Cathut teh kalan e lawkcengkung lah ao teh, Cathut teh tamikathoutnaw koe hnintangkuem a lungkhuek.
12 Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
Pankângai hoehpawiteh, a tahloi hah kata vaiteh, licung hah sawn vaiteh, coungkacoe lah ao han.
13 Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
Duenae senehmaica hai ahni hanlah a rakueng teh, hmai kang thai e samtang hah a sak awh.
14 Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
Tamikathout ni yonnae hah a khe. Runae hah a vawn teh laithoe ouk a khe.
15 Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
Tangkom kadungpoung lah a tai teh, a tai e tangkom dawk ama letlang a bo.
16 Mipango yake mwenyewe ya uharibifu hugeukia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake mwenyewe humshukia kichwani pake.
A sak e runae hah amae lû van bout ban vaiteh, a tâcosak e thoenae teh amae lû van bout a pha han.
17 Kwa haki yako Mungu nitakushukuru; nitaimba sifa kwa Mungu aliye juu.
BAWIPA teh a lan e patetlah ka pholen han. Lathueng Poung BAWIPA min pholen hoi la ka sak han.

< Zaburi 7 >