< Zaburi 7 >

1 Yahweh Mungu wangu, kwako napata kimbilio! Uninusuru na hao wote wanikimbizao, na uniokoe.
Na Hina Gode! Na Dia gaga: ma: ne Dima maha. Nama ha lai da na se bobogesa. Dia gaga: ma!
2 Vinginevyo, watanipura kama simba, na kunitawanya viapande vipande na asiwepo mtu wa kuweza kunirudisha katika usalama.
Dia da hame gaga: sea, nama ha lai dunu da soge laione wa: me agoane, na lale, aboda: ne asili, dunu hame esalebe sogega, fane dadega: le, na dagoi hamedafa ba: mu.
3 Yawheh Mungu wangu, Sijawahi kufanya kile maadui zangu wanacho sema nilifanya; sina hatia katika mikono yangu.
Na Hina Gode! Na da dunu eno amoma giadofale hamoi galea, o na sama ema hohonoi galea, o nama ha lai amoma udigili wadela: le hamoi galea, amo hou afae na da hamoi galea,
4 Sijawahi kumkosea mtu yeyote aliye na amani na mimi, au kumdhuru kipumbavu yeyote aliye kinyume na mimi.
5 Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. (Selah)
defea, nama ha lai dunu da na doagala: le, na gagulaligimu da defea. Amola ilia da na fane salawane, na da osoboga bogola sa: imu da defea.
6 Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
Hina Gode! Di nama ha lai dunuma ougili doagala: ma. Di wa: legadole na fidima. Di da moloidafa fofada: su fawane dawa:
7 Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
Amaiba: le, Di fifi asi gala dunu huluane Dima gilisila misa: ne sia: ma. Amola, Dia ilima gasa bagadewane ouligima.
8 Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
Di da fifi asi gala dunu huluane ilima Fofada: su Dunu esala. Hina Gode! Na fidima: ne fofada: ma. Na da wadela: i hou hame hamoi.
9 Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
Di da moloidafa Gode esala. Di da ninia asigi dawa: su amola ninia dogo ganodini hanai hou huluane dawa: beba: le, fofada: nana. Wadela: i hamosu dunu ilia wadela: i hou hedofama. Amola, noga: i dunu ilima bidi ima.
10 Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
Gode da na Gaga: su dunu. E da nowa dunu da Ea sia: nabawane hamosea, amo E da gaga: sa.
11 Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
Gode da moloidafa fofada: su dunu. E da wadela: i hamosu dunu ilima fofada: nanu, se iaha.
12 Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
Ilia da ilia hou hame afadenesea, E da fedege agoane Ea gobihei mema: ne debesa. E da Ea dadi dili ouligisa.
13 Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
E da Ea gasa bagade gegesu liligi lale, ea dadi amoga dilaligili oulela.
14 Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
Ba: ma! Wadela: i hamosu dunu da ilia dogo ganodini wadela: i hamomusa: dawa: lala. Ilia da moso hamomusa: dawa: lala, amola ogogosu bagade hamonana.
15 Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
Be ilia eno dunu sa: ima: ne sanisisia, ilisu da amo sani ganodini daha.
16 Mipango yake mwenyewe ya uharibifu hugeukia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake mwenyewe humshukia kichwani pake.
Amaiba: le, ilia wadela: i hou da ililima se iasu dabe iaha. Amola ilia nimi bagade hou da ililima se iasu iaha.
17 Kwa haki yako Mungu nitakushukuru; nitaimba sifa kwa Mungu aliye juu.
Na da Hina Gode Ea moloidafa fofada: su hou ba: beba: le, Ema nodosa. Na da Hina Gode Gadodafa Ema nodone gesami hea: lala.

< Zaburi 7 >