< Zaburi 69 >

1 Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
Načelniku godbe na šestero strun, pesem Davidova. Reši me, Bog, ker vode mi prihajajo noter do duše,
2 Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
Pogrezam se v blato pregloboko; kjer ni trdnega pod nogo; zahajam v globočine vodâ; in val poplaveč me požira.
3 Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
Trudim se vpijoč, suši se grlo moje; oči moje pešajo, ko upam v svojega Boga.
4 Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
Več jih je ko glave moje lâs, ki me sovražijo po krivem; mogočneji so, ki me hočejo ubiti, ki so mi sovražniki po krivici; tedaj me silijo vrniti, česar nisem vzel.
5 Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
O Bog, ti poznaš nespamet mojo, in krivice moje niso ti skrite.
6 Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
Ne bodi jih mene sram, kateri čakajo tebe; Gospod, Bog vojnih krdél, rudečica naj ne oblije zaradi mene njih, ki iščejo tebe, Bog Izraelov.
7 Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
Ker zavoljo tebe prenašam zasmehovanje; sramota pokriva obličje moje.
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
Tujec sem postal bratom svojim, in neznan matere moje sinovom.
9 Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.
Ker gorečnost za hišo tvojo me razjéda, in zasmehovanje njih, ki tebe zasmehujejo, mene zadeva.
10 Wakati nilipolia na kutokula chakula, walinitukana.
Ko jokajoč pokorim s postom dušo svojo, tedaj se mi to šteje za najhujšo sramoto.
11 Nilipoteneneza mavazi ya gunia, nikawa kituko kwao.
Ko se oblačim v raševino, tedaj sem jim v pregovor.
12 Wale wakaao katika lango la mji huniseng'enya; mimi ni wimbo wa walevi.
O meni govoričijo vkup sedeči pri vratih, in pesmi pojó, ko pijejo opojno pijačo.
13 Lakini kwangu mimi, maombi yangu ni kwako, Yahwe, wakati ambao wewe utayapokea; unijibu katika uaminifu wa wokovu wako.
O meni torej je prošnja moja tá do tebe, Gospod: čas je milosti, Bog, po obilnosti milosti svoje usliši me, po blagi zvestobi svoji.
14 Unitoe matopeni, na usiniache nizame; uniondoe mbali na wale wanaonichukia na uniokoe katika kina cha maji.
Potegni me iz blata, in naj se ne pogreznem; otet naj bodem sovražnikov svojih, in iz globočin vodâ.
15 Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
Valovje vodâ naj me poplaveč ne odnese, in globočina naj me ne pogoltne, in jama naj ne zapre ust svojih nad mano.
16 Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
Usliši me, Gospod, ker dobra je milost tvoja; po obilosti usmiljenja svojega ozri se v mé.
17 Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
In ne skrivaj obličja svojega svojemu hlapcu; ker v stiski sem, hiti, usliši me!
18 Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
Približaj se duši moji, ótmi jo; zavoljo sovražnikov mojih réši me.
19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
Ti poznaš zasramovanje moje in mojo sramoto ter nečast mojo; pred teboj so vsi sovražniki moji.
20 Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
Zasramovanje tare srce moje, tako da sem bolan; in ko ga čakam, da bi me miloval, nikogar ni; ali tolažiteljev, vendar ne najdem jih.
21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
Dà, za živež mi dajó želča, in v žeji moji dajó mi piti octa.
22 Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
Njih miza bodi pred njimi za zanko, in za povračila, za zadrgo.
23 Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
Otemné naj njih oči, da ne vidijo; in daj, da ledja njih omahujejo neprestano.
24 Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
Razlij na nje jezo svojo, in srd tvoj naj jih dohiti.
25 Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
Pusti naj bodejo njih gradovi, v šatorih njih ne bodi prebivalca.
26 Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
Ker preganjajo njega, kateregi si tí udaril, in po bolečini prebodencev tvojih spletajo pripovedke.
27 Wakiwashtaki kuwa wamefanya uovu juu ya uovu; usiwaache waje kwenye ushindi wa haki yako.
Pridevaj kazen kazni njih krivici, in naj ne pridejo v pravico tvojo.
28 Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
Izbrišejo naj se iz življenja knjige, in s pravičnimi naj se ne zapisujejo.
29 Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
Jaz pa ubožen in trpeč, blaginja tvoja, Bog, postavila me bode na višavo.
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
Hvalil bodem ime Božje s pesmijo, in poveličeval ga bodem sè zahvaljevanjem,
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
Kar se bode bolje zdelo Gospodu, ko vol, junec rogat z razklanimi parklji.
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
Ko bodejo to videli krotki, veselili se bodo; in oživelo bode srce vaše, ki iščete Boga.
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
Ker Gospod se ozira na potrebne, in jetnikov svojih ne zameta.
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
Hvalila ga bodo nebesa in zemlja, morja in karkoli lazi po njih.
35 Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
Ker Bog otima Sijon in zida z nova mesta Judovska, da stanujejo tam, in podedujejo ono deželo.
36 Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.
Nasledniki, pravim, hlapcev njegovih naj jo posedajo, in ljubitelji imena njegovega naj prebivajo v njej,

< Zaburi 69 >