< Zaburi 69 >

1 Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
百合花にあはせて伶長にうたはしめたるダビデのうた 神よねがはくは我をすくひたまへ 大水ながれきたりて我がたましひにまでおよべり
2 Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
われ立止なきふかき泥の中にしづめり われ深水におちいるおほみづわが上をあふれすぐ
3 Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
われ歎息によりてつかれたり わが喉はかわき わが目はわが神をまちわびておとろへぬ
4 Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
故なくしてわれをにくむ者わがかしらの髪よりもおほく謂なくしてわが仇となり我をほろぼさんとするものの勢力つよし われ掠めざりしものをも價はせらる
5 Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
神よなんぢはわが愚なるをしりたまふ わがもろもろの罪はなんぢにかくれざるなり
6 Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
萬軍のヱホバ主よ ねがはくは汝をまちのぞむ者をわが故によりて辱かしめらるることなからしめたまヘ イスラエルの神よねがはくはなんぢを求むる者をわが故によりて恥をおはしめらるることなからしめたまへ
7 Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
我はなんぢのために謗をおひ恥はわが面をおほひたればなり
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
われわが兄弟には旅人のごとく わが母の子には外人のごとくなれり
9 Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.
そはなんぢの家をおもふ熱心われをくらひ汝をそしるものの謗われにおよべり
10 Wakati nilipolia na kutokula chakula, walinitukana.
われ涙をながして食をたち わが霊魂をなげかすれば反てこれによりて謗をうく
11 Nilipoteneneza mavazi ya gunia, nikawa kituko kwao.
われ麁布をころもとなししにかれらが諺語となりぬ
12 Wale wakaao katika lango la mji huniseng'enya; mimi ni wimbo wa walevi.
門にすわる者はわがうへをかたる われは酔狂たるものに謳ひはやされたり
13 Lakini kwangu mimi, maombi yangu ni kwako, Yahwe, wakati ambao wewe utayapokea; unijibu katika uaminifu wa wokovu wako.
然はあれどヱホバよわれは恵のときに汝にいのる ねがはくは神よなんぢの憐憫のおほきによりて汝のすくひの眞實をもて我にこたへたまへ
14 Unitoe matopeni, na usiniache nizame; uniondoe mbali na wale wanaonichukia na uniokoe katika kina cha maji.
ねがはくは泥のなかより我をたすけいだして沈まざらしめたまへ 我をにくむものより深水よりたすけいだしたまへ
15 Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
大水われを淹ふことなく淵われをのむことなく坑その口をわがうへに閉ることなからしめたまヘ
16 Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
ヱホバよねがはくは我にこたへたまへ なんぢの仁慈うるはしければなり なんぢの憐憫はおほしわれに歸りきたりたまへ
17 Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
面をなんぢの僕にかくしたまふなかれ われ迫りくるしめり ねがはくは速かに我にこたへたまへ
18 Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
わがたましひに近くよりて之をあがなひわが仇のゆゑに我をすくひたまへ
19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
汝はわがうくる謗とはぢと侮辱とをしりたまへり わが敵はみな汝のみまへにあり
20 Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
譭謗わが心をくだきぬれば我いたくわづらへり
21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
われ憐憫をあたふる者をまちたれど一人だになく慰むるものを俟たれど一人をもみざりき かれら苦草をわがくひものにあたへ わが渇けるときに醋をのませたり
22 Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
ねがはくは彼等のまへなる筳は網となり そのたのむ安逸はつひに羂となれ
23 Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
その目をくらくして見しめず その腰をつねにふるはしめたまへ
24 Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
願くはなんぢの忿恚をかれらのうへにそそぎ汝のいかりの猛烈をかれらに追及せたまへ
25 Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
かれらの屋をむなしくせよ その幕屋に人をすまはするなかれ
26 Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
かれらはなんぢが撃たまひたる者をせめ なんぢが傷けたまひたるものの痛をかたりふるればなり
27 Wakiwashtaki kuwa wamefanya uovu juu ya uovu; usiwaache waje kwenye ushindi wa haki yako.
ねがはくはれらの不義に不義をくはへてなんぢの義にあづからせ給ふなかれ
28 Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
かれらを生命の册よりけして義きものとともに記さるることなからしめたまへ
29 Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
斯てわれはくるしみ且うれひあり 神よねがはくはなんぢの救われを高處におかんことを
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
われ歌をもて神の名をほめたたへ 感謝をもて神をあがめまつらん
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
此はをうしまたは角と蹄とある力つよき牡牛にまさりてヱホバよろこびたまはん
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
謙遜者はこれを見てよろこべり 神をしたふ者よなんぢらの心はいくべし
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
ヱホバは乏しきものの聲をきき その俘囚をかろしめたまはざればなり
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
天地はヱホバをほめ蒼海とその中にうごくあらゆるものとはヱホバを讃まつるべし
35 Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
神はシオンをすくひユダのもろもろの邑を建たまふべけれぱなり かれらは其處にすみ且これをおのが有とせん
36 Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.
その僕のすゑも亦これを嗣その名をいつくしむ者その中にすまん

< Zaburi 69 >