< Zaburi 69 >

1 Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
Kathutkung: Devit Oe Cathut, na rungngang haw. Bangkongtetpawiteh, tui ni ka lahuen totouh na muem toe.
2 Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
Ka dung e tangdong dawk ka bo teh, kangdue nahan awm hoeh. Tui kadung, tuicapa ni na ramuknae koe ka pha.
3 Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
Ka hram lawi ka tâwn toe. Ka dangka a ke toe. Ka Cathut ngaihawi laihoi ka mit a tâwn toe.
4 Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
A khuekhaw awm laipalah na kahmuhmanaw teh, ka sam hlak apap awh. Ayawmyin lah na taran awh teh, raphoe hanlah kakâcainaw teh, a thao awh. Banghai ka parawt hoeh ei, boutbout pathoe hanelah ao.
5 Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
Oe Cathut, ka pathunae heh ka panue. Ka yonnae heh ka hrawk hoeh.
6 Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
Oe Jehovah, ransahu Cathut, na karingkungnaw teh kai kecu dawk kayak awh nahanh seh. Oe Isarel Cathut, nang katawngkung hah kai kecu dawk a lungpout awh nahanh seh.
7 Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
Nang kecu dawk pathoenae ka kâhmo teh, kayanae ni ka minhmai a ramuk.
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
Ka hmaunawnghanaw thung dawk imyin lah ka o teh, manu buet touh ni na khe e thung dawk patenghai ramlouk e tami lah ka o.
9 Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.
Na im hanlah pouknae ni na ca teh, na kapathoenaw e lawk teh kai dawk a pha.
10 Wakati nilipolia na kutokula chakula, walinitukana.
Rawcahai hoi ratoum hringnae dawk doeh na pathoe awh.
11 Nilipoteneneza mavazi ya gunia, nikawa kituko kwao.
Buri ka khohna toteh, na panuikhai awh.
12 Wale wakaao katika lango la mji huniseng'enya; mimi ni wimbo wa walevi.
Longkha koe katahungnaw ni ka kong a dei awh teh, yamuhrinaw ni la lah na sak awh.
13 Lakini kwangu mimi, maombi yangu ni kwako, Yahwe, wakati ambao wewe utayapokea; unijibu katika uaminifu wa wokovu wako.
Hatei, kai hanelah teh ka ratoumnae heh nang koe doeh. Oe BAWIPA, ngai kaawm e tueng dawk Oe Cathut, na lungmanae apap e patetlah, na rungngangnae lawkkatang hoi ka lawk heh na thai pouh haw.
14 Unitoe matopeni, na usiniache nizame; uniondoe mbali na wale wanaonichukia na uniokoe katika kina cha maji.
Kai hah tangdong dawk hoi na rasat haw, na bawt sak hanh. Na kahmuhmanaw kut dawk hoi thoseh, tui kadung thung hoi thoseh, na hlout sak haw.
15 Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
Tui kalen ni na muem teh, tui kadung ni na payawp hanh naseh. Tangkom kadung ni na pakhum hanh naseh.
16 Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
Oe BAWIPA na thai pouh haw. Bangkongtetpawiteh, na lungpatawnae teh ahawi. Lungmanae kapap hoi kai koe lah kamlang haw.
17 Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
Na san koehoi na minhmai hrawk hanh. Bangkongtetpawiteh, runae koe ka pha toe. Karang poung lah na thai pouh haw.
18 Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
Ka hringnae koe hnai nateh, na ratang haw. Ka tarannaw ao dawkvah, na rungngang haw.
19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
Kayanae, yeiraiponae hoi na barihoehnae teh na panue. Ka taran pueng teh na hmalah koung ao.
20 Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
Pathoenae ni ka lung a pout sak teh a lungpuen sak. Na kapahrenkung ka tawng teh buet touh hai ka hmawt hoeh. Lungpahawikung ka tawng teh buet touh hai ka hmawt hoeh.
21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
Ka rawca lah kakhat e na poe awh teh, tui kahran toteh misurtui kathut e hah na poe awh.
22 Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
Ahnimae caboi teh amamouh hanelah karap lah thoseh, tangkhek lah thoseh, a kang hanelah thoseh, coung awh naseh.
23 Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
A hmu thai awh hoeh nahanlah a mitmawm naseh. A laheibaw thouk pâyaw naseh.
24 Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
Na lungkhueknae hah ahnimouh lathueng awi nateh, na lungphuennae ni rekpatawt naseh.
25 Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
Ahnimouh khosaknae hmuen teh kingkadi lah awm naseh, ahnimae im dawk apihai awm hanh naseh.
26 Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
Bangkongtetpawiteh, na rek e hah a rektap awh teh, hmâ na ca sak e naw hah, rek a panai awh.
27 Wakiwashtaki kuwa wamefanya uovu juu ya uovu; usiwaache waje kwenye ushindi wa haki yako.
ahnimae yon dawk yon rek poe nateh, na lannae dawk kâen hanh naseh.
28 Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
Hringnae cauk dawk hoi raphoe lah awm awh naseh. Tamikalannaw hoi rei thut lah awm hanh naseh.
29 Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
Hateiteh kai teh mathoe hoi lung ka mathout e lah ka o. Oe Cathut, na rungngangnae ni a rasangnae koe na tat naseh.
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
Cathut min teh la hoi ka pholen han. Lunghawilawkdeinae hoi ama teh ka tawm han.
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
BAWIPA ni ki hoi khoksamen hoi kaawm e maitotan a ngai e hlak, hote hringnuen hah a ngaihnawn.
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
Ka kârahnoumnaw ni hetheh a hmu awh vaiteh, a lunghawi awh han. Nangmouh Cathut katawngnaw e lung teh thaonae hoi akawi han.
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
Bangkongtetpawiteh, ka mathoenaw e lawk hah a thai pouh teh, thongim ka bawt e amae taminaw hah pacekpahlek hoeh.
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
Talai hoi kalvan ni ama teh a pholen teh, talîpui hoi a thung kaawm e pueng ni, ama teh, pholen naseh.
35 Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
Cathut ni Zion a rungngang teh, Judah kho hah a kangdue sak teh, Ahnimouh ni ao awh teh a pang awh.
36 Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.
A san catounnaw ni hai pang awh vaiteh, a min ka lungpataw e teh athung vah kho a sak awh han.

< Zaburi 69 >