< Zaburi 68 >
1 Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
Müzik şefi için - Davut'un mezmuru - İlahi Kalksın Tanrı, dağılsın düşmanları, Kaçsın önünden O'ndan nefret edenler!
2 Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
Dağıtsın onları dağılan duman gibi; Ateşin karşısında eriyen balmumu gibi Yok olsun kötüler Tanrı'nın önünde!
3 Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
Ancak doğrular sevinsin, Bayram etsinler Tanrı'nın önünde, Neşeyle coşsunlar.
4 Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
Tanrı'ya ezgiler söyleyin, adını ilahilerle övün, Çölleri geçecek biniciye yol hazırlayın; O'nun adı RAB'dir, bayram edin önünde!
5 Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
Kutsal konutundaki Tanrı, Öksüzlerin babası, dul kadınların savunucusudur.
6 Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
Tanrı kimsesizlere ev verir, Tutsakları özgürlüğe ve gönence kavuşturur, Ama başkaldıranlar kurak yerde oturur.
7 Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
Ey Tanrı, sen halkına öncülük ettiğinde, Çölde yürüdüğünde, (Sela)
8 nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
Yer sarsıldı, Göklerden yağmur boşandı Tanrı'nın önünde, Sina Dağı sarsıldı Tanrı'nın, İsrail'in Tanrısı'nın önünde.
9 Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
Bol yağmurlar yağdırdın, ey Tanrı, Canlandırdın yorgun düşen yurdunu.
10 Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
Halkın oraya yerleşti, İyiliğinle mazlumların geçimini sağladın, ey Tanrı.
11 Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
Rab buyruk verdi, Büyük bir kadın topluluğu duyurdu müjdeyi:
12 Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
“Kaçıyor, kaçıyor orduların kralları! Evi bekleyen kadınlar ganimeti paylaşıyor.
13 Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
Ağılların arasında uyurken, Kanatları gümüş, tüyleri pırıl pırıl altınla kaplı Bir güvercine benzersiniz.”
14 Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
Her Şeye Gücü Yeten, kralları dağıtırken, Sanki Salmon Dağı'na kar yağıyordu.
15 Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
Ey Başan Dağı, Tanrı Dağı! Ey Başan Dağı, dorukları ulu dağ!
16 Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
Ey ulu dağlar, niçin yan gözle bakıyorsunuz Tanrı'nın yerleşmek için seçtiği dağa? Evet, RAB orada sonsuza dek oturacaktır.
17 Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
Tanrı'nın savaş arabaları sayısızdır, Rab kutsallık içinde Sina'dan geldi.
18 Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
Sen yükseğe çıktın, tutsakları peşine taktın, İnsanlardan, başkaldıranlardan bile armağanlar aldın, Oraya yerleşmek için, ya RAB Tanrı.
19 Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
Her gün yükümüzü taşıyan Rab'be, Bizi kurtaran Tanrı'ya övgüler olsun. (Sela)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
Tanrımız kurtarıcı bir Tanrı'dır, Ölümden kurtarış yalnız Egemen RAB'be özgüdür.
21 Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
Kuşkusuz Tanrı düşmanlarının başını, Suçlu yaşayanların kıllı kafasını ezer.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
Rab, “Onları Başan'dan, Denizin derinliklerinden geri getireceğim” der,
23 ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
“Öyle ki, ayaklarını düşmanlarının kanına batırasın, Köpeklerinin dili de onlardan payını alsın.”
24 Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
Ey Tanrı, senin zafer alayını, Tanrım'ın, Kralım'ın kutsal yere törenle gelişini gördüler:
25 Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
Başta okuyucular, arkada çalgıcılar, Ortada tef çalan genç kızlar.
26 Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
“Ey sizler, İsrail soyundan gelenler, Toplantılarınızda Tanrı'ya, RAB'be övgüler sunun!”
27 Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
Önde en küçük oymak Benyamin, Kalabalık halinde Yahuda önderleri, Zevulun ve Naftali önderleri oradalar!
28 Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
Ey Tanrı, Yeruşalim'deki tapınağından göster gücünü, Bizim için kullandığın gücünü, ey Tanrı. Krallar sana armağanlar sunacak.
29 Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
Azarla kamışlar arasında yaşayan hayvanı, Halkların buzağılarıyla boğalar sürüsünü, Çiğne ayaklarınla gümüşe gönül verenleri, Dağıt savaştan zevk alan halkları!
31 Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
Mısır'dan elçiler gelecek, Kûşlular ellerini Tanrı'ya doğru kaldırıverecek.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
Ey yeryüzünün krallıkları, Tanrı'ya ezgiler söyleyin, İlahilerle övün Rab'bi, (Sela)
33 Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
Göklere, kadim göklere binmiş olanı. İşte sesiyle, güçlü sesiyle gürlüyor!
34 Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
Tanrı'nın gücünü tanıyın; O'nun yüceliği İsrail'in üzerinde, Gücü göklerdedir.
35 Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.
Ne heybetlisin, ey Tanrı, tapınağında! İsrail'in Tanrısı'na, Halkına güç, kudret veren Tanrı'ya övgüler olsun!