< Zaburi 68 >

1 Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
Untuk pemimpin kor. Mazmur Daud. Allah bangkit menceraiberaikan musuh-Nya, orang yang membenci Dia lari dari hadapan-Nya.
2 Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
Allah mengusir mereka pergi, seperti asap yang ditiup dan menghilang. Seperti lilin meleleh di dalam api, begitulah orang jahat lenyap dari hadapan Allah.
3 Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
Tetapi orang saleh bersukacita dan riang gembira, mereka bersorak-sorak kesukaan di hadapan Allah.
4 Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
Bernyanyilah bagi Allah, pujilah nama-Nya, siapkanlah jalan raya bagi Dia yang mengendarai awan. Nama-Nya TUHAN--bersenang-senangla di hadapan-Nya!
5 Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
Allah yang tinggal di Rumah-Nya yang suci adalah bapak anak yatim dan pembela para janda.
6 Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
Allah memberi tempat tinggal kepada orang yang kesepian; Ia membebaskan orang tahanan sehingga mereka bahagia. Tetapi orang-orang yang melawan TUHAN harus tinggal di tanah yang gersang.
7 Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
Ya Allah, ketika Engkau membimbing umat-Mu berjalan melewati padang yang kering,
8 nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
bumi bergetar, hujan tercurah di hadapan-Mu, karena kedatangan Allah Sinai, Allah Israel.
9 Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
Dengan limpah Engkau menurunkan hujan, dan memulihkan tanah-Mu yang gersang.
10 Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
Lalu umat-Mu berdiam di sana; dalam kebaikan-Mu, ya Allah, Engkau memelihara orang miskin.
11 Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
TUHAN memberi perintah, lalu para wanita membawa berita:
12 Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
"Raja-raja dan pasukannya sudah lari!" Mereka lari seperti merpati yang terbang pergi. Para wanita di rumah membagi-bagikan, perak dan emas yang ditinggalkan. Sekalipun banyak yang tidak ikut berperang, umat Allah telah memperoleh kemenangan.
13 Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
Ketika Yang Mahakuasa menyerakkan raja-raja di sana, turunlah salju dari Gunung Salmon.
15 Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
Gunung Basan adalah gunung yang hebat, gunung yang berpuncak banyak.
16 Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
Mengapa dari puncakmu yang banyak itu engkau memandang dengan cemburu kepada Bukit Sion yang dipilih Allah untuk kediaman-Nya? TUHAN akan tinggal di sana untuk selama-lamanya.
17 Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
Dengan puluhan ribu kereta kuat Allah tampil di antara mereka dalam keagungan-Nya.
18 Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
TUHAN naik ke tempat yang tinggi; banyak tawanan dibawa-Nya serta. Ia menerima persembahan dari antara manusia bahkan dari antara kaum pemberontak; supaya mereka berdiam bersama TUHAN Allah.
19 Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
Pujilah TUHAN, sebab Dialah Allah yang menyelamatkan kita; dari hari ke hari Ia memikul beban kita.
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
Allah kita adalah TUHAN yang menyelamatkan, Ia membebaskan kita dari kematian.
21 Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
Allah pasti akan meremukkan kepala musuh-Nya, orang-orang yang terus hidup dalam dosa.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
Kata TUHAN, "Hai umat-Ku, Kubawa musuhmu dari Basan Kubawa mereka kembali dari dasar lautan,
23 ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
supaya kamu membasuh kakimu dengan darah mereka, dan anjing-anjingmu menjilatnya sepuas-puasnya."
24 Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
Semua melihat pawai kemenangan-Mu, ya Allah, Allahku, Rajaku, diarak ke tempat kediaman-Nya.
25 Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
Di depan berjalan para penyanyi, di belakang para pemain kecapi; di tengah para gadis pemukul rebana; beginilah nyanyian mereka:
26 Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
"Pujilah Allah di tengah himpunan umat-Nya, pujilah TUHAN, hai semua keturunan Yakub!"
27 Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
Benyamin, suku yang paling kecil, berjalan di depan, lalu berbondong-bondong para pemuka Yehuda di belakangnya para pemuka Zebulon dan Naftali.
28 Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
Allahmu menuntut kekuatanmu; ya Allah, teguhkanlah apa yang telah Kaulakukan bagi kami.
29 Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
Raja-raja membawa persembahan kepada-Mu di Rumah-Mu di Yerusalem.
30 Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
Hardiklah Mesir, binatang buas itu di tengah gelagah. Tegurlah bangsa-bangsa, kawanan banteng itu dengan anak-anaknya, yang saling menginjak-injak untuk mendapat perak. Allah menceraiberaikan bangsa-bangsa yang suka berperang.
31 Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
Pembesar-pembesar Mesir datang membawa tembaga; orang Sudan bergegas-gegas membawa upeti kepada Allah.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
Bernyanyilah bagi Allah, hai semua kerajaan, nyanyikanlah puji-pujian bagi TUHAN,
33 Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
bagi dia yang melintasi angkasa purbakala. Dengar! TUHAN berbicara, suara-Nya menggelegar dengan dahsyat.
34 Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
Akuilah kuasa Allah yang berdaulat atas Israel, kuasa-Nya sampai di langit.
35 Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.
Sungguh mengagumkan Allah kita waktu Ia keluar dari tempat kediaman-Nya. Allah Israel memberi kuasa dan kekuatan kepada umat-Nya. Terpujilah Allah!

< Zaburi 68 >