< Zaburi 68 >
1 Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
Aka mawt ham David kah tingtoeng laa Pathen he thoo vetih a thunkha rhoek taekyak uh mako. A lunguet rhoek khaw a mikhmuh lamkah rhaelrham uh mako.
2 Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
Halang rhoek he Pathen hmai ah hmaikhu a yah bangla na yah vetih, hmai hmai ah khoirhat a paci bangla milh uh saeh.
3 Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
Tedae hlang dueng rhoek tah kohoenah neh Pathen hmai ah a sundaep neh a kohoe uh saeh lamtah ngaingaih uh saeh.
4 Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
Pathen te hlai lamtah a ming te tingtoeng uh lah. Vaan kolken dongah aka ngol BOEIPA ming te pomsang uh lamtah a hmai ah sundaep uh.
5 Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
Amah kah khuirhung hmuencim ah aka om Pathen tah cadah rhoek kah a napa neh nuhmai rhoek kah laitloekkung la om.
6 Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
Pathen loh oingaih cangloeng te imlo neh kho a sak sak tih thongtla rhoek te lolmangcil neh a khuen. Tedae thinthah rhoek tah rhamrhae ah kho a sakuh.
7 Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
Pathen aw na pilnam hmai ah na caeh vaengah, khopong la na luei vaengah. (Selah)
8 nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
Israel Pathen, Pathen hmai ah, Sinai Pathen hmai ah, diklai he hinghuen tih vaan khaw cip.
9 Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
Pathen namah loh kothoh khonal nan suep tih thahnoeng khaw na rho neh na thoh.
10 Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
Pathen nang loh mangdaeng ham na hnothen te na soepboe pah tih a khuiah na hingnah loh kho a sakuh.
11 Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
Ka Boeipa loh a olkhueh te a paek tih olthangthen aka phong caempuei khaw len.
12 Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
Manghai rhoek kah caempuei loh yong rhoela yong uh tih im kah toitlim te kutbuem la a tael.
13 Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
Tuvong ah na yalh uh vaengkah te, cak neh a hluk vahui phae, sui hing neh a hluk phaemul van pawn ni.
14 Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
Tlungthang Pathen loh a khuikah manghai rhoek a taek a yak vaengah Zalmon ah vuel bo.
15 Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
Pathen kah tlang, Bashan tlang, Bashan tlang kah tlang som rhoek,
16 Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
Ba dongah tlang som rhoek loh na pangoe uh. Te kah tlang te Pathen Amah loh khosak thil ham a nai tih BOEIPA loh yoeyah la kho a sak thil ni.
17 Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
Pathen kah leng tah a rhaepnah thawng thawngrha lo. Hmuencim kah aka om Sinai kah amih lakli ah Boeipa om.
18 Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
Hmuen sang la na luei tih tamna rhoek na sol vaengah BOEIPA Pathen namah loh khosak puei ham hlang taeng neh thinthah rhoek taengkah kutdoe pataeng na doe.
19 Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
Ka Boeipa tah a hnin, hnin ah a yoethen pai saeh. Mamih kah khangnah Pathen tah mamih ham thinrhih coeng. (Selah)
20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
Mamih kah Pathen tah khangnah Pathen la om tih, ka Boeipa Yahovah taengah dueknah lamkah longrhael khaw om.
21 Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
Amah kah tholhnah neh aka pongpa tah Pathen loh thunkha lu bangla a luki sam soah a phop ni.
22 Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
Ka Boeipa loh, “Bashan lamkah kam bal puei vetih tuitunli kah a laedil lamkah kam mael puei ni.
23 ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
Te vaengah thunkha lamkah thii na kho na nuem thil, te na ui rhoek loh a lai neh a laeh uh vetih amih kah rhuimal khaw na pang uh ni,” a ti.
24 Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
Pathen namah kah lambong rhoek, ka Pathen, ka manghai kah lambong rhoek loh hmuencim la a khong uh te a hmuh uh coeng.
25 Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
Laa sa rhoek loh lamhma uh tih a hnukthoi loh a tumbael a tum, a laklung kah hula rhoek loh toemrhang a tum uh.
26 Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
Pathen te khangkhung lakli ah, BOEIPA te Israel thunsih ah uem lah.
27 Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
Canoi Benjamin loh Judah mangpa hlangkuk rhoek, Zebulun mangpa rhoek, Naphtali mangpa rhoek te a taemrhai.
28 Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
Pathen namah loh na sarhi te uen lamtah kaimih ham na saii bangla Pathen namah te mah tanglue lah.
29 Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
Na bawkim rhang neh manghai rhoek loh nang ham kutdoe te Jerusalem la hang khuen uh ni.
30 Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
Capu mulhing ke tluung lah. Pilnam saelca rhoek neh aka lueng rhaengpuei khaw cak boeng neh a san thil. Caemrhal aka ngaih pilnam rhoek khaw a haeh.
31 Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
Egypt lamkah laipai rhoek halo uh ni. Kusah loh Pathen taengah a kut a duen ni.
32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
Diklai ram rhoek loh Pathen te hlai uh lamtah ka Boeipa te tingtoeng uh. (Selah)
33 Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
Hlamat lamkah vaan dong vaan dongah aka ngol loh a ol neh sarhi ol a paek coeng ke.
34 Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
Pathen kah sarhi te doek uh lah. A hoemnah neh khomong dongkah a sarhi tah Israel soah om.
35 Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.
Pathen namah kah rhokso ah a rhih om pai. Israel Pathen amah loh pilnam taengah sarhi neh thadueng a paek. Pathen tah a yoethen pai saeh.