< Zaburi 67 >

1 Mungu atuhurumie sisi na kutubariki na kufanya nuru ya uso wake ituangazie (Selah)
一篇詩歌,交與伶長。用絲弦的樂器。 願上帝憐憫我們,賜福與我們, 用臉光照我們, (細拉)
2 ili kwamba njia zako zijulikane nchi yote, wokovu wako kati ya mataifa yote.
好叫世界得知你的道路, 萬國得知你的救恩。
3 Watu wakusifu wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
上帝啊,願列邦稱讚你! 願萬民都稱讚你!
4 Oh, mataifa wafurahi na na kuimba kwa furaha, maana utawahukumu watu kwa haki na kuwaongoza mataifa walioko duniani.
願萬國都快樂歡呼; 因為你必按公正審判萬民, 引導世上的萬國。 (細拉)
5 Watu wakushukuru wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
上帝啊,願列邦稱讚你! 願萬民都稱讚你!
6 Nchi imetoa mavuno yake na Mungu, Mungu wetu, ametubariki.
地已經出了土產; 上帝-就是我們的上帝要賜福與我們。
7 Mungu ametubariki sisi, na miisho yote ya dunia itamuheshimu yeye.
上帝要賜福與我們; 地的四極都要敬畏他!

< Zaburi 67 >