< Zaburi 65 >

1 Kwako wewe, Mungu katika Sayuni, sifa zetu za kungoja; viapo vyetu vitaletwa kwako.
達味詩歌,交與樂官。 天主,人應在熙雍山上歌詠讚美您,同時也應向您還願,因您允我所祈。
2 Wewe usikiaye maombi yetu, miili yote itakuja kwako.
凡一切有血肉的人們,都因罪過,而向您投奔。
3 Maovu yanatutawala sisi; kama yalivyo makosa yetu, wewe utayasamehe.
我們的罪重壓著我們,但您都一一赦免不存。
4 Amebarikiwa mtu yule ambaye wewe huchagua kumsogeza karibu yako ili kwamba aishi hekaluni mwako. Tutatoshelezwa kwa uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu.
您所選拔,而使他居留在您庭院的人,真是有福!願我們得飽享您居所的福樂,您殿宇中的聖物!
5 Katika haki wewe utatujibu sisi kwa kufanya mambo ya ajabu, Mungu wa wokovu wetu; wewe ambaye ni ujasiri wa mwisho wote wa nchi na wa wale walio mbali toka pande za bahari.
天主我們的救主您常照公義以奇事來俯聽我們,世人在天涯地角與海洋的遠處都對您全心信任。
6 Kwa manaa ni wewe ndiye uliyeifanya milima imara, wewe ambaye umefungwa mkanda wa uweza.
您以神威大能束腰,您以大力堅定山嶽;
7 Ni wewe unyamazishaye ngurumo za baharini; ngurumo za mawimbi yake, na vurugu za watu.
您曾平息了澎湃的汪洋,咆哮的巨浪,萬民的喧嚷:
8 Wale wanaoishi sehemu za mwisho kabisa wa nchi wanaogopa ushahidi wa matendo yako; wewe hufanya mashariki na magharibi kushangilia.
遠居地角的人,因您的奇跡而恐慌;您使東西兩極的人,都要喜氣洋洋。
9 Wewe huja kuisaidia nchi; unainyeshea inchi; wewe unaiimarisha nchi vizuri; mto wa Mungu umejaa maji; wewe humpa mwanadamu nafaka unapokuwa umekwisha iandaa nchi.
您眷顧大地,普降甘霖,使大地豐收;天主的河水洋溢,為他們準備五穀。原來這一切都是由於您安排就緒。
10 Wewe huyajaza matuta maji ya kutosha; wapasawazisha palipoinuka; wailainisha nchi kwa manyunyu ya mvua; waibariki mimea kati yao.
您灌溉了田畦,又犁平了土壤,使雨鬆軟土壤,祝福植物生長。
11 Umeuvika mwaka taji ya wema wako; mvumo wa mapito yako hudondosha unono katika nchi.
您的慈惠使年歲豐收,您的腳步常滴流脂油。
12 Majani ya nyikani hudondosha umande, na vilima vimevikwa furaha.
曠野的牧場豐滿外溢,漫山遍陵充滿了歡喜;
13 Malisho yamevishwa mifugo; mabonde pia yamefunikwa na nafaka; yanapiga kelele za shangwe, nayo yanaimba.
羊群遮蔽了牧場,山谷蓋滿了食糧,一切在歡呼歌唱。

< Zaburi 65 >