< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
För sångmästaren; en psalm av David. Hör, o Gud, min röst, när jag klagar, bevara mitt liv, ty fienden förskräcker mig.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Fördölj mig för de ondas hemliga råd, för ogärningsmännens larmande hop;
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
ty de vässa sina tungor likasom svärd, med bittra ord lägga de an såsom med pilar,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
för att i lönndom skjuta den ostrafflige; plötsligt skjuta de på honom, utan försyn.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
De befästa sig i sitt onda uppsåt, de orda om huru de skola lägga ut snaror; de säga: "Vem skulle se oss?"
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
De tänka ut onda anslag: "Nu äro vi redo med det råd vi hava uttänkt!" Ja, djupa äro männens tankar och hjärtan.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Då skjuter Gud dem; plötsligt sårar dem hans pil.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
De bringas på fall och få straff för sina tungors skull; var och en som ser dem rister huvudet.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Och alla människor varda förskräckta; de förkunna vad Gud har gjort och förstå hans verk.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Den rättfärdige skall glädja sig i HERREN och taga sin tillflykt till honom, och alla rättsinniga skola berömma sig.

< Zaburi 64 >