< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Al Músico principal: Salmo de David. ESCUCHA, oh Dios, mi voz en mi oración: guarda mi vida del miedo del enemigo.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Escóndeme del secreto consejo de los malignos; de la conspiración de los que obran iniquidad:
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
Que amolaron su lengua como cuchillo, [y] armaron [por] su saeta palabra amarga;
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
Para asaetear á escondidas al íntegro: de improviso lo asaetean, y no temen.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Obstinados en su inicuo designio, tratan de esconder los lazos, [y] dicen: ¿Quién los ha de ver?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Inquieren iniquidades, hacen una investigación exacta; y el íntimo pensamiento de cada uno [de ellos], así como el corazón, [es] profundo.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Mas Dios los herirá con saeta; de repente serán sus plagas.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Y harán caer sobre sí sus mismas lenguas: se espantarán todos los que los vieren.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Y temerán todos los hombres, y anunciarán la obra de Dios, y entenderán su hecho.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Alegraráse el justo en Jehová, y confiaráse en él; y se gloriarán todos los rectos de corazón.

< Zaburi 64 >