< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Poslušaj moj glas, oh Bog, v moji molitvi, varuj moje življenje strahu pred sovražnikom.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Skrij me pred skrivnim načrtom hudobnih, pred vstajo delavcev krivičnosti,
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
ki brusijo svoj jezik kakor meč in upogibajo svoje loke, da bi streljali svoje puščice, celó grenke besede,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
da bi lahko na skrivnem streljali na popolnega. Nenadoma streljajo nanj in se ne bojijo.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Med seboj se hrabrijo v zli zadevi. Na skrivaj se posvetujejo o nastavljanju zank; pravijo: »Kdo jih bo videl?«
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Preiskujejo krivičnosti, dovršijo marljivo iskanje. Notranja misel vsakogar izmed njih in srce, oboje je globoko.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Toda Bog bo nanje streljal s puščico, nenadoma bodo ranjeni.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Tako bodo dosegli, da bo njihov lastni jezik padel nanje. Vsi, ki jih vidijo, bodo zbežali stran.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Vsi ljudje se bodo bali in bodo oznanjali Božje delo, kajti o njegovem dejanju bodo modro preudarjali.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Pravični bodo veseli v Gospodu in bodo zaupali vanj in vsi iskreni v srcu bodo ponosni.

< Zaburi 64 >