< Zaburi 64 >
1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Salmo de Davi, para o regente: Ouve, Deus, minha voz, em minha meditação [de súplica]; guarda minha vida do terror do inimigo.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Esconde-me do grupo dos malignos, e do ajuntamento dos praticantes de maldade,
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
Que afiam sua língua como [se fosse] espada; e armaram palavras amargas [como se fossem] flechas.
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
Para atirarem no inocente às escondidas; disparam apressadamente contra ele, e não têm medo.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Eles são ousados para [fazerem] coisas más, comentam sobre como esconder armadilhas, [e] dizem: Quem as verá?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Eles buscam por perversidades; procuram tudo o que pode ser procurado, até o interior de [cada] homem, e as profundezas do coração.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Mas Deus os atingirá com flecha de repente; e [logo] serão feridos.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
E a língua deles fará com que tropecem em si mesmos; todo aquele que olhar para eles se afastará.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
E todos os homens terão medo, e anunciarão a obra de Deus, e observarão cuidadosamente o que ele fez.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
O justo se alegará no SENHOR, e confiará nele; e todos os corretos de coração [o] glorificarão.