< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Til sangmesteren; en salme av David. Hør, Gud, min røst når jeg klager, bevar mitt liv for fiendens skremsel!
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Skjul mig for de ondes lønnlige råd, for illgjerningsmenns larmende hop,
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
som hvesser sin tunge som et sverd, legger på buen sin pil, det bitre ord,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
for å skyte den uskyldige i lønndom; med ett skyter de ham og frykter ikke.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
De gjør sitt onde råd fast; de forteller hvorledes de vil legge skjulte snarer; de sier: Hvem ser dem?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
De uttenker ugjerninger: Vi er ferdige, tanken er uttenkt - og menneskenes tanker og hjerter er dype.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Da skyter Gud dem; med ett kommer pilen; slaget har rammet dem.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Og de blir nedstyrtet, deres tunge kommer over dem; alle de som ser på dem, ryster på hodet.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Og alle mennesker frykter og forkynner Guds gjerning, og de forstår hans verk.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Den rettferdige gleder sig i Herren og tar sin tilflukt til ham, og alle opriktige av hjertet priser sig lykkelige.

< Zaburi 64 >