< Zaburi 64 >
1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
in finem psalmus David exaudi Deus orationem meam cum deprecor a timore inimici eripe animam meam
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
protexisti me a conventu malignantium a multitudine operantium iniquitatem
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
quia exacuerunt ut gladium linguas suas intenderunt arcum rem amaram
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
ut sagittent in occultis inmaculatum
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
subito sagittabunt eum et non timebunt firmaverunt sibi sermonem nequam narraverunt ut absconderent laqueos dixerunt quis videbit eos
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
scrutati sunt iniquitates defecerunt scrutantes scrutinio accedet homo et cor altum
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
et exaltabitur Deus sagittae parvulorum factae sunt plagae eorum
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
et infirmatae sunt contra eos linguae eorum conturbati sunt omnes qui videbant eos
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
et timuit omnis homo et adnuntiaverunt opera Dei et facta eius intellexerunt
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
laetabitur iustus in Domino et sperabit in eo et laudabuntur omnes recti corde