< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Pour le chef musicien. Un psaume de David. Écoute ma voix, Dieu, dans ma plainte. Préservez ma vie de la peur de l'ennemi.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Cache-moi de la conspiration des méchants, de la foule bruyante de ceux qui font le mal;
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
qui aiguisent leur langue comme une épée, et visent leurs flèches, des mots mortels,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
pour tirer sur des hommes innocents dans des embuscades. Ils lui tirent dessus soudainement et sans crainte.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Ils s'encouragent dans de mauvais projets. Ils parlent de tendre des pièges en secret. Ils disent: « Qui les verra? »
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Ils complotent l'injustice, en disant: « Nous avons fait un plan parfait! » L'esprit et le cœur de l'homme sont certainement rusés.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Mais Dieu tirera sur eux. Ils seront soudainement frappés par une flèche.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Leur propre langue les ruine. Tous ceux qui les verront secoueront la tête.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Toute l'humanité sera effrayée. Ils annonceront l'œuvre de Dieu, et réfléchira sagement à ce qu'il a fait.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Les justes se réjouissent en Yahvé, et se réfugieront en lui. Tous ceux qui ont le cœur droit le loueront!

< Zaburi 64 >