< Zaburi 64 >
1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Veisuunjohtajalle; Daavidin virsi. Kuule, Jumala, minun ääneni, kun minä valitan, varjele minun elämäni vihollisen pelosta.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Kätke minut pahain seuralta, väärintekijäin riehuvalta joukolta,
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
jotka hiovat kielensä kuin miekan, jännittävät jousensa, nuolinaan karvaat sanat,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
salaa ampuaksensa nuhteettoman. He ampuvat häntä äkisti eivätkä kavahda.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
He pysyvät lujina pahoissa aikeissaan, he kehuvat, kuinka he virittävät pauloja, he sanovat: "Kuka ne näkee?"
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
He miettivät vääryyksiä: "Meillä on juoni valmiiksi mietittynä". Syvä on miehen sisu ja sydän.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Mutta Jumala ampuu heidät nuolella, äkisti kohtaavat heitä iskut.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
He joutuvat kompastukseen, heidän oma kielensä langettaa heidät; kaikki, jotka heidät näkevät, nyökyttävät ilkkuen päätään.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Ja kaikki ihmiset peljästyvät; he julistavat Jumalan töitä ja ottavat vaarin hänen teoistansa.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Vanhurskas iloitsee Herrassa ja turvaa häneen, ja kaikki oikeamieliset kerskaavat.