< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
`In Ebrewe thus, To the victorie, the salm of Dauid. `In Jerom `thus, To the ouercomer, the song of Dauid. God, here thou my preier, whanne Y biseche; delyuere thou my soule fro the drede of the enemy.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Thou hast defendid me fro the couent of yuele doers; fro the multitude of hem that worchen wickidnesse.
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
For thei scharpiden her tungis as a swerd, thei benten a bowe, a bittir thing;
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
for to schete in priuetees hym that is vnwemmed.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Sodeynli thei schulen schete hym, and thei schulen not drede; thei maden stidefast to hem silf a wickid word. Thei telden, that thei schulden hide snaris; thei seiden, Who schal se hem?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Thei souyten wickidnessis; thei souyten, and failiden in sekinge. A man neiyhe to deep herte;
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
and God schal be enhaunsid. The arowis of `litle men ben maad the woundis of hem;
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
and the tungis of hem ben maad sijk ayens hem. Alle men ben disturblid, that sien hem;
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
and ech man dredde. And thei telden the werkis of God; and vndurstoden the dedis of God.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
The iust man schal be glad in the Lord, and schal hope in hym; and alle men of riytful herte schulen be preisid.

< Zaburi 64 >