< Zaburi 64 >
1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Unto the end, a psalm for David. Hear, O God, my prayer, when I make supplication to thee: deliver my soul from the fear of the enemy.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Thou hast protected me from the assembly of the malignant; from the multitude of the workers of iniquity.
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
For they have whetted their tongues like a sword; they have bent their bow a bitter thing,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
To shoot in secret the undefiled.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
They will shoot at him on a sudden, and will not fear: they are resolute in wickedness. They have talked of hiding snares; they have said: Who shall see them?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
They have searched after iniquities: they have failed in their search. Man shall come to a deep heart:
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
And God shall be exalted. The arrows of children are their wounds:
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
And their tongues against them are made weak. All that saw them were troubled;
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
And every man was afraid. And they declared the works of God: and understood his doings.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
The just shall rejoice in the Lord, and shall hope in him: and all the upright in heart shall be praised.